SIMULIZI: Jamani Unaniuaaaaaa (Sehemu ya 1) - Linda Penzi Lako

Breaking

Pages

Jumamosi, 25 Agosti 2018

SIMULIZI: Jamani Unaniuaaaaaa (Sehemu ya 1)




IMEANDIKWA NA : EDDAZARIA 


*********************************************************************************

SIMULIZI : Jamani Unaniuaaaaaa
Sehemu Ya Kwanza (1)

Kaubaridi kakali ka asubuhi kananifanya niwe ninabingirika bingirika, kwenye kitanda changu cha sita kwa sita. Sitamani kabisa kunyanyuka kwenye kitanda changu hichi, hii ni kutokana na uchovu unao sababishwa na pirika pirika zangu za siku tano za wiki, na hizi siku mbili za mapumziko muda mwingi ninazitumia kushinda chumbani kwangu. Kiupepo cha feni kinacho nipiga kwa mwendo wa taratibu, kinazidi kuongezaka zaidi na kiupepo cha mvua mvua inayo nyesha huko nje. Taratibu ninaanza kulipapasa shuka langu sehemu lilipo na kujifunika vizuri mwilini mwangu.
Kabla hata sijaumalizia malizia usingizi wangu vizuri nikashtuliwa na umlio wa mesiji unao ingia kwenye simu yangu, taratibu ninaichukua kutoka chini ya mto nilipo iweka na kujilaza chali kisha ninaufungua ujumbe huo unao nifanya nikae kitako kitandani.
(Dany hela ya umeme)


Nikaurudia kuusoma tena ujumbe huo wa meseji ulio nifanya nipatwe na gadhabu sana, kwani haujaisha hata mwezi mama mwenye nyumba ananitumia meseji hiyo juu ya umeme wa luku tunao changa wapangaji karibia sita tuliopo kwenye hii nyumba ya mama wa kinyaturu. Nikashuka kitandani nikavaa pensi yangu pasipo kuvaa boksa ndani, kisha nikachukua na kaushi yangu na kuivaa haraka haraka na kutoka ndani ya chumba changu huku sura yangu ikiwa imejikunja kwa hasira kali.
Nikatembea kwenye kordo ndefu yenye vyumba vinne kila upande huku chumba viwili vya upande ninao kaa mimi ni vya mama mwenye nyumba anaye ishi na binti wake wa kike. Breki yangu ya kwanza nikasimama nje ya chumba cha mama mwenye nyumba na kugonga mlango wake kwa mara mbili kisha nikasimama kusikilizia majibu. Nilipo ona kimya nikataka kugonga kwa mara ya tatu, ila mama mwenye nyumba akawa tayari ameufungua mlango wa chumba chake akioneona ndio kwanza na yeye ananyanyuka kutoka kitandani, kwani amejifunga na tenge moja tu na macho yake yamejaa malepe ya usingizi.


“Mama nimeipata meseji yako, ila mbona mimi nilisha lipa hela ya umeme?”


“Ulimpa nani hiyo pesa?”


Mama mwenye nyumba anaye julikana kwa jina la mama Mariam, alinijibu huku mkono wake mmoja akishika kingo za mlango kwa upande wa juu.
“Nilimpa Mariam elfu kumi na tano mwanzo wa mwezi”
“Mbona hajanipa sasa?”


“Labda umuulize mwanao ila mimi nilisha toa hiyo pesa”
Mama mwenye nyumba akanikazia macho jinsi ninavyo zungumza kwa kujiamini.
“Sawa, ila usipanic kama umelipa nitamuuliza Mariam”
“Ni lazima nipanic mama, wewe mwenye si unafahamu jinsi hali ya uchumi ilivyo mbaya kwa sasa”
“Ok nisamehe baba yangu”
“Sawa”



Nikaondoka na kurudi chumbani kwangu huku mara kadhaa nikiwa niaachia misunyo ya hapa na pale. Usingizi wote nilio kuwa nao ukakata kabisa. Nikatupa kwenye sofa na kutafuta zilipo rimoti zangu za tv pamoja na rimoti za king’amuzi changu cha DST’v. Nikawasha na kuanza kutafuta ni chaneli gani ambayo inaweza kunifaa kwa kuangalia alfajiri hii. 


Sikuona chaneli inayo nifaa, ikanibidi nisimame na kufungua droo ya dresing table yangu na kutoa CD moja ya WAKUBWA nikaiweka kwenye deki yangu na kurudi kukaa kwenye sofa langu, nikisubiria kuangalia mkanda huo ambao mara nyingi ninapenda kuutazama kwani unaziamsha hisia zangu za mapenzi.

Mkanda huo ukaanza, ukionyesha wadada wa kimarekani wakitingisha makalio yao makubwa, na kunifanya nijikunje nne kidogo kwani jogoo wangu amesha anza kuwika. Jinsi wadada hao wanavyo zidi kutingisha makalio yao waliyo yapaka mafuta malaini yanayo ng’aa sana, ndivyo nami nilivyo zidi kuanza kupata msukumo wa kuanza kumshika jogoo wangu taratibu na kumtoa kwenye pensi yangu.
Taratibu nikaanza kumsugua sugua jogoo wangu ambaye tayari alisha simama muda mrefu alipo yaona makalio ya wadada hao, na kwa jinsi kaubaridi ka mvua kanavyo ingia dirishani na ukichanganya na kaubariki ka upepo wa feni, basi hisia za kumsugua jogoo wangu zikazidi kunipanda. Nikatema mate kidogo kwenye kiganja cha mkono wangu wa kushoto na kuendela kumpaka jogoo wangu taratibu. Nikiwa katikati ya utamu, mlango wangu ukagongwa na kunifanya niutazame kwa macho ya hasira.
“Dany”
Nikasikia sauti ya mama mwenye nyumba ikiniita, kwa haraka nikamrudisha jogoo wangu ndani ya pensi huku akiwa bado amesimama, kwa kiwewe nikasahau hata kuisimamisha filamu yangu. Nikajifuta kiganja changu kwa taulo na kuufungua mlango. Nikamkuta mama mwenye nyumba akiwa amesimama, akanitazama kuanzi usoni hadi chini pasipo kuzungumza kitu cha aina yoyote.
“Mama zungumza?”


Kwa upenyo wa pazia mama mwenye nyumba nikaona akiyatupia macho yake kwenye Tv yangu aina ya Samsung nch 42, akitizama mikiki mikiki inayo onekana kwenye mkando hao.
“Mama”
“Ehee…”
Mama mwenye nyumba akastuka, akionekana ametoka kwenye dibwi kubwa alilo zama baada ya kutazama filamu hiyo.
“Nataka niangalie vitu unavyo tumia umeme, kwa maana inaonyesha ukiwepo wewe luku inakwenda haraka kama nini”
Mama mwenye nyumba alizungumza huku akitaka kuingia ndani kwangu, ila ikanibidi kumzuia kwanza kwa maana sikujua utaratibu huo umeanza lini ndani ya nyumba hii.
“Tueleweshane kwanza mama huwezi kuingia ndani kwangu tu, kisa wewe ni mama mwneye nyumba niambie utaratibu wa kuchunguza vitu vya watu umeanza lini?”
“Wenzako nilisha wachunguza wewe tu ndio ulikuwa umebaki, nipishe nikatazame”
“Mama”
Mama mweney nyumba akanisukuma mkono wangu nilio kuwa nimumzuia nao, akaingia ndani kwangu, kitua cha kwanza akasimama na macho yake yote kuyatupia kwenye Tv yangu. Nikamtazama jinsi alivyo duwaa, hapo ndipo nilipo pata nafasi ya kumtazama mama mwenye nyumba kwa nyuma. Ni mwanamke mwenye umbo lililo jazia vizuri na kubarikiwa kupewa kalio kubwa na lenye ujazo wa kuelekeka. Kiuno chake chembamba kama nyingu chenye tumbo kubwa kiasi, kiliweza kugawanyisha kati ya kiwili wili cha juu cha mama huyo na kiwiliwili cha chini chenye miguu minene kiasi.
“Mama kagua basi na utoke”
Mama mwneye nyumba akawa kama hajanisikia kwani ukimya wake wote niliamini umepumbazwa na wamarekani hao wanao ngonoka kama mashine.
“Mmmm hawa watu jamani, tazama yule anavyo mzamisha mwenzake Mashine Nyuma hamuonei hata huruma”
Mama mwenye nyumba alijikuta akizungumza huku akinitazama kwa macho ya kuiba iba. Sikumjibu chochote zaidi ya kurudi mlangoni na kuufunga ili hata mtu akipita kwenye kordo hiyo asijue ni nini kinacho endelea ndani ya chumba changu na mama mwenye nyumba.
Mama mwenye nyumba alipo ona nimeufunga mlango, taratibu akakaa kwenye kochi, na kuangalia mkanda huo, jambo lililo zidi kuniacha njia panda kwa jinsi mwana mama huyu alivyo na maneno ya kejeli kwa sisi wapangaji wake sikudhani kama anaweza kutazama filamu hizi.
“Njoo tu ukae hapa”
“Hapana hapa kitandani kunanitosha”
Nijamjibu mama mwenye nyumba huku nikiwa nimeketi kitandani, mara kadhaa nikawa ninamtupia jicho na kumuona jinsi anavyo pata pata shida ya kujigeuza geuza kwenye sofa, mara akae hivi, mara akae vile, ilimraidi tu azidi kuitazama filamu hiyo.
“Dany”
Mama mwenye nyumba akaniita kwa sauti ya upole na unyonge, nikamuitikia kwa sauti nzito hadi akanigeukia na kunitazama.
“Mbona sauti nzito hivyo”
“Hapana”
Mama mwenye nyumba taratibu akasimama na kunifwata kitandani nilipo kaa, kisha yeye naye akaka pembeni yangu. Mkono wake mmoja wa kulia akauweka juu ya paja langu, akanitazama usoni mwangu taratibu huku akiwa ananisogezea uso wake, kabla hajanibusu, nikaukwepesha mdomo wangu.
“Nini Dany?”
Mama mwenye nyumba alizungumza kwa sauti iliyo legea huku akinitazama usoni mwagu kwa macho malegevu.
“Ma….”
“Shiiiii”
Mama Mwenye nyumba akaniwekea kidole chake mdomoni akiniashiria ninyamaze nisizungumze nilicho hitaji kuzungumza. Kutokana nyumba yetu imeezekwa na bati, basi mvua inayo zidi kuongezeka kwa kasi, tuliweza kuisikia na jinsi kaupepo kake kanavyo ingia dirishani ndivyo kilivyo zidi kuusisimua mwili wangu.
“Nipe japo kimoja nishushe kibeseni changu kimejaa”
Mama Maria alizungumza huku akichukua mkono wangu wa kushoto na kuuweka juu ya mapaja yake meupe ambayo tayari yalisha funuka kutokana na tenge lake alilo vaa kukaa kando. Mama Mariam akazidi kuupeleka mkono wangu hadi kwenye kitumbua chake na kuuacha hapo kisha mkono wake ule ule ulio fanya kazi ya kuupelea mkono wangu kwenye kitumbua chake, ukaanza kufungua zipu ya penzi yangu. Mama Mariam akazamisha mkono wake ndani ya zipu na kumtoa jogoo wangu aliye simama muda mrefu huku.
“Mmmmm we mtoto mbona una mashine kubwa hivi?”
Mama Maria alizungumza huku akimtingisha tingisha jogoo wangu aliye simama kidedea, akamshika kwa viganja vyake viwili, ila kwa urefu wa jogoo wangu, aliweza kuchomoza kwenye viganja vyake.
“Ninyonye”


Muda huo nilizungumza bila ya kumuonea aibu mama Mariam ambaye kwa makadiria ya haraka haraka anakimbilia miaka hamsini japo sijajua umri wake kamili kwa maana kwa haraka haraka ukimtazama unaweza kuhisi ni biti wa miaka thelathini kumbe ni mmama mwenye mtoto anaye soma chuo cha ualimu.
Bila hiyana mama Marim akainamisha kichwa chini na kumuingiza jogoo wangu mdomoni mwake. Na mimi kwa kupenda sifa kama wanavyo fanya wamarekani kwenye filamu hiyo tunayo itazama, nikaanza kumkandamiza mama Mariam jogoo wangu mdomoni na kumfanya atoa mlio wa kukoroma.



Jini la mahaba tayari lilisha nivaa, hata sikumuonea huruma mama Mariam jinsi ninavyo mkandamiza kichwa chake kwenye jogoo wangu, kwani ninahisi amefika hadi mwisho wa kinywa chake na anapo alekea ni kuingia kwenye koo.
“Daa…aany”
Mama Mariam alilalama huku akimchomoa Jogoo wangu mdomoni mwake huku mate mengi yakimwagika. Nikamtazama jinsi anavyo hema, nikamshika tena shingoni mwake na kukiinamisha kichwa chake kwenye jogoo wangu. Nikamkamuingiza kwa kasi mdomoni mwake, na kumfanya Mama Mariam kumshikilia jogoo wangu kwa viganja vyake viwili na kujitoa huku akimlamba kwa ulimi, ila kuhema kwake kukawa kumeongezeka.
“Inama”
Nilimuamrisha mama Mariam, kwa haraka akajiweka sawa kitandani, na kulitupia tenge lake pembeni huku chupi yake ya bikini ikiwa bado mwilini kwake, huku kimkanda chake chembaba cha bikini kikiwa kimekatiza kwenye mstari wake wa ikweta.
Nikausogeza mkanda wa kijichupi hicho, ambacho sishangai sana kumuona mama Mariam na utu uzima wake huo amekivaa, hii imetokana na ndio mitindo ya wanawake wengi wa mjini. Nikayatanua makaliyo yake, kisha nikakusanya fumba zito la mate na kulitemea katikati ya mstari huo wa ikweta na kumfanya Mama Mariam kujibenua kidogo.
Ulimi wangu wenye sentimita chache mbele, nikaanza kuushusha taratibu kwenye mstari huo wa ikweta na kumfanya mama Mariam kuzidi kujibenua benua. Ulimi wangu ulipo fika kwenye shimo la bunduki, nikaanza kuuchezesha chezesha kwa haraka na kumfanya mama Mariam kutoa vilio vya mahaba.
“Usipige kelele wewe”
Nilizungumza kwa sauti nzito huku nikimtia kofi zito la kalio. Mama Mariam akatulia tuli, huku akianza kuliingiza shuka langu mdomoni ili asitoe ukelele. Ulimi wangu nikaushusha hadi kwenye kitumbua chake, na hapo nikadumu kwa dakika kazaa huku nikiuchezesha ulimi wangu kwa jinsi ninavyo weza mimi mwenuyewe kuufanya.
Mama Mariam akauleta mkono wake mwenyewe nyuma nilipo na kuniomba kwa ishara nimuingize jogoo wangu ashuhulikie kitumbua chake. Taratibu nikampaka jogoo wangu mate ya kutosha kisha nikaanza kumuingiza kwneye kitumbua cha mama Mariam kilicho bana vizuri, kutokana na unene wake.
“DAAAAA…………….NNNNNNYYYYYYYYYYY

Mama Mariam alizungumza huku akijilaza kifudifudi kitandani hata kuinama kukawa kumemshinda, kwani jogoo wangu nilimzamisha kwa kasi hadi nikahisi kwa ndani ya kitumbua kuna kitu amegusa.
Kwa haraka nikauchukua mto na kuupitisha katikati ya kiuno chake na kumfanya aulalie na kuyaacha makalio yake kubenuka juu kiasi.
“Dany ta…..ara…tibu, nyonga zangu uta….vunja”
“Usijali”
Nikaanza mambo yangu ambayo siku zote yanawafanya wanawake ambao nilisha kuwa nao kuto kunirudia tea, jambo ambalo sikujua ni wapi ninapo kosea. Mikiki miwili ya nguvu, ikamfanya mama Mariam kujichomoa na kugeuka na kulala kifudi fudi na kuibana miguu yake asitake kabisa jogoo wangu kuingia kwenye kitumbua chake.
“Vipi?”


“Dany K yangu inawaka motoo”
“Moto?”
“Ndio, najihisi kunaungua”
“Tanua miguu nikupulize”
Mama Mariam akafanya kama nilivyo muambia, nikainama na kuanza kumpulizia, ila bado akawa ananilalamika kwamba kuna waka moto. Nikashuka kitandani na kufungua friji langu, nikamimini maji ya baridi kwenye kikombe, nikachukua kitambaa chepesi na kukichovya kwenye kikombe hicho na kuanza kumchua kwenye kitumbua chake. Mama Marim akaanza kutoa mihemo ya amani, huku tabasamu likichanua usoni mwake.
“Vipi tuendelee?”
“Eheee”
Mama Mariam alinijibu huku akitingisha kichwa chake, nikapanda tena kitandani, nikamuweka sawa Mama Maria, huku miguu yake nikiwa nimeiweka kama X, safari hii sikuhitaji kumsulubu mwana mama huyu. Hadi jogoo wangu anafika nusu, mama Mariam akanizuia kwa kiganga cha mkono wake wa kushoto
“Dany hapo hapo”
“Sawa mama”
Nikaanza kukitafuna kitumbua cha mama Mariam, aliye anza kulegea kila jinsi nilivyo zidi kukila ndivyo mwenzangu alivyo legea legelege na kutulia tuli. Kitu kilicho nistua nakuogopa na kunifanya nistuke na kushuka kitandani kwa haraka huku nikimtazama mama Mariam kitandani ni kwa jinsi anavyo tokwa na mapovu mdoni pamoja na damu nyingi puani mwake.


Wasiwasi mwingi ukazidi kunikamata huku macho yangu nikiwa ninamtazama Mama Mariam aliye lala chali, nikahisi kuchanganyikiwa, sijajua hata nianzie wapi au nimalizie wapi, kila ninacho kiona kwa mama Mariam naona mapicha picha tu. Nikaka kitandani na kuanza kumtingisha mama Mariam huku nikimuita, ila mwenzangu hakunyanuyuka kabisa.
Nikachukua taulo langu na kumfuta damu pmoja na mapuvu yanayo mtoka, kwa haraka nikanyanyuka na kufungua friji yangu na kuchukua maji ya baridi sana na kumwagia usoni, ila mama Mariam hakunyanyuka kabisa.
“Ohooo Mungu wangu, nitafanya nini mimin?”
Niliendelea kuzungumza mwenyewe huku nikizunguka zunguka ndani ya chumba changu, nikafungua pazia la dirisha langu na kuchungulia nje, sikuona kitu chochote zaidi ya mvua ambayo inazidi kunyesha nje. Nikarudi kwneye kochi na kujilaza, hata jogoo wangu aliye kuwa amesimama alisha lala muda mrefu hii ni kutokana na wasiwasi mwingi nilio kuwa nao.



Kitu ambacho kinanipa matumaini ni kifua cha mama Mariam kinacho nyanyuka taratibu kikiashiria kwamba mapigo yake ya moyo yapo vizuri na yanadunda vizuri. Kwa woga na msongamano wa mawazo nilio kuwa nao nikajikuta usingizi ukinipitia kwenye sofa langu na kulala fofofo. Gafla nikastukia nikishikwa kifuani na kiganja cha baridi nikajikuta nikikurupuka. Macho yangu yakakutana na Mama Mariam akiwa amevalia dera lake huku akinitazama.
“Umelala sana leo ehee”
Mama Mariam alizungumza na kunifanya nikae kitako na kumtazama usoni mwake, nikayatupia macho mezanimwangu na kukuta sahani iliyo funikwa na sahani nyingine juu pamoja na chupa ya chai.
“Umeamkaje amkaje?”
Nilimuuliza mama Fatuma huku nikimtazama usoni, akaachia tabasamu pana akionekana kufurahishwa na swali nililo muuliza.
“Mbona nimeamka tangu muda, nikatoka nje nikakuandalia chai, na ndio niumekuletea”
“Mmmm kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
“Inakwenda saa sita”
“Saa sita?”
“Ndio mbona unashangaa, kwani una sehemu unataka kwenda?”
“Hapana nimestuka kwa maana na kumbuka muda ninajilaza kwenye kochi ilikuwa ni saa tatu”
“Ohoo basi umelala sana na umezidiwa na usingizi. Sasa wewe kunywa chai mimi nimekinga ndoo za maji kwenye mvua huko, ngoja nikazitazame”



Mama Mariam, ambaye ndio mama mwenye nyumba yetu, akanibusu shavuni mwangu na kutoka ndani kwangu, huku akichungulia kwenye kordo kama kuna mtu kisha akatoka. Nikafunua sahani iliyo mezani mwangu, nikakuta soseji zipatazo kumi pamoja na yai moja la kuchemsha huku chapati mbili kubwa zikiwa chini ya vitu hivyo.
Nikafungua chupa ya chai nikachungulia na kukuta ni chai ya maziwa, nikajinyoosha vizuri na kuuweka mwili wangu sawa. Nikanyanyuka na kuchukua kikombe changu cha dongo na kumimina chai hiyo huku maswali nikijiuliza ni kwa nini Mama Fatuma alikuwa katika hali ile.
“Atakuwa ni mgonjwa?”
Nilijisemea mwenyewe huku nikiendelea kutafuna kipande cha chapati. Sikutumia muda mwingi kula chakula hicho nilipo hakikisha nimeshiba kabisa, soseji zilizo baki nikaziweka kwenye friji. Taulo ambalo nilimfutia mama Mariam damu na mapovu sikuliona na kunifanya nichukue taulo jengine lililomo kwenye kabati. Nikajifunga kiunoni vizuri kisha nikachukua mswaki wangu na kuuweka dawa ya kutosha. Nikachukua sopdish na kuelekea bafuni, kuoga.
Maji ya mvua yalioyo nimwagikia nikielekea bafuni, ambapo ni hatua chache kutoka ilipo nyumba kubwa tunayo ishi wapangaji, yakanifanya moja kwa moja kuanza kuoga kwa haraka huku nikipiga mswaki. Nikamaliza kufanuya shuhuli iliyo nipeleka humo, nikajifunga taulo langu na kutoka, nikiwa ninatoka nikakutana na Asma, mke wa mmoja wa wapangaji wezangu akiwa amejifunga kanga moja iliyo lowa maji na kumshika mwili wake vizuri.
“Za sahizi Dany?”

“Safi za kuamka”
Nilirudisha salamu hiyo huku tukiwa tumejibanza kwenye uzio wa bati labafu hilo huku pembeni yake kukiwa na choo.
“Naona unaogopa kupita”
“Ahaaa nimesha oga sasa hata ikininyeshea sio tatizo”
“Mimi imeniyeshea nilikuwa ninakinga ndoo zangu nimemaliza”
“Ahaa haya baadaye”
Nikajitosa kwenye mvua hiyo na kukimbilia kwenye nyumba kubwa na kumuacha Asma akiingia bafuni na yeye. Nikaingia ndni kwangu, nikafungua kabati langu la nguo na kuchukua boksa pamoja na suruali yangu, nikaviaa. Simu yangu iliyopo mezani, ikaanza kuita na kunifanya nisitishe zoezi la kuifunga zipu ya suruali yangu niliyo ichukuka. Nikaisogelea na kusoma jina la nani anaye piga nikakuta jina nililo lisave K2. Nikaichukua simu yangu na kuipokea.
“Halooo Dany”
Sauti nyororo ikasikika, sikushangaa sana kwa maana ndio kawaidia ya K2 mwanamama ambaye siku zote ametokea kuniletea vituko nilivyo jitahidi kuvikwepa kwepa kutokana ninamuheshimu kama mkuu wangu wa kazi.
“Shikamoo”
“Ahaa Dany ni mara ngapi huwa ninakueleza usinisalimie”
“Sawa mambo vipi?”
“Safi, upo wapi?”
“Nipo nyumbani nimepumzika”
“Nipo mtaa wa jirani na hapa kwako, sasa nahitaji kuja kwako nikupitie twende sehemu moja kikazi”
“Sehemu gani mama?”
“Utapajua, nipe dakika tano nitakuwa nimefika hapo”
“Sawa mama”



Nikakata simu huku nikiachia msunyo mkali, nahisi kama kuna mtua anapita nje ya chumba changu basi msunyo huo atakuwa ameusikia barabara. Sikuwa na jinsi zaidi ya kujiandaa kwa ajili ya kazi hiyo anayo sema mkuu wangu kwa maana siku zote kazi yangu huwa haina ruhusa ya kupinga, nikachukua bastola yangu ninayo iweka chini ya gorodo, nikatoa magazine na kukuta ina risasi za kutosha, nikichomeka kiuononi na kuifunika na tisheti niliyo ivaa. Kitendo cha kumaliza kuishusha tisheti yangu na kuifunika bastola hiyo vizuri, simu yangu ikaita na kukuta ni K2, nikaipokea.
“Nipo nje”
“Sawa natoka”
Nikazima tv, kisha nikatoka na kufunga chumba changu vizuri, nikiwa ninamalizia kukifunga chumba changu vizuri nikakutana na mama Mariam akiwa anatoka chumbani kwake.
“Wapi tena”
“Kuna sehemu ninaelekea mara moja”
“Na mvua hihi?”
“Hapana ninakwenda na gari, bosi wangu amekuja kunipitia”
“Ahaa sawa, utarudi au ndio……?”
“Sijajua, kusema kweli”
“Ok basi taulo lako nimekufulia, nimelianika kule nyuma”
“Ahaa sawa mama”
Honi ya gari ikasikika na kunifanya nitoke na kumuacha mama Mariam akiwa ananitazama kwa macho ya matamanio, nikatoka nje na kukuta gari la kifahari aina ya Range Rover Sport, lenye rangi nyeusi tii, likiwa limesimama. Nikatoka na kukimbila kwenye gari hilo kutokana na mvua, nikaingia ndani ya gari hilo, kitu nilicho kutana nacho ni harufu nzuri ya manukato yaliyo iburudisha pua yangu.
Nilipo funga mlango tu K2 akanivuta karibu na kunipiga busu la shavu, nikabaki nikiwa ninamkodolea macho bosi wangu huyu ambaye kusema kweli leo ametupia mavazi ya kisichana kabisa kwa maana ni mara nyingi ofisini huwa anavalia suti tu.
“Maana yake ni nini bosi?”
Nilimuuliza huku sura yangu nikijaribu kuikunja kidogo.
“Usijifanye ufahamu Dany wewe sio mtoto”
“Hata kama bosi, hili jambo lina maridhiano”
“Ni mara ngapi huwa ninakueleza na uninichenga chenga kama Ronaldo”
Sikuwa na lakujibu zaidi ya kukaa kimya, kwani bosi wangu huyu ni mtu wa hasira na wa kukasirika mara kwa mara. Gari ikaingia barabarani huku sote tukiwa kimya, kwa jicho langu la kulia, kupitia kona ya pembeni nikawa ninayatazama mapaja ya K2, jinsi yalivyo nona, na jinsi kisketi kifupi alicho kivaa kweli nikaamini huwa masuti ya suruali ayanyo yavaa yanaficha mambo mengi.
“Umekula?”
“Ndio”
“Umekula saa ngapi wakati huna mke wa kukupikia wewe?”
“Huwa napiga mwenyewe”
“Acha uongo Dany mara nyingi huwa nakuonaga una agiza agiza chakula ukiwa ofisini”
“Umesha sema ofisini ni tofauti na nyumbani”
“Ok basi tupitie hapa tupate chakula kisha tutaelekea kwenye hiyo kazi”
“Ila bosi hujaniambia ni kazi gani?”
“Wewe twende utaiona”
Tukaingia kwenye moja ya mgahawa wa kisasa, tukatafuta sehemu na kukaa. Muhudumu akaja na kutuhudumia kitu amcho tunakihitaji, alipo ondoka tukawa tunatazamana na K2.
“Hivi Dany unajua wewe ni mzuri sana”
“Ahaaa hamna kitu kama hicho. Mwanaume siku zote hasifiwi uzuri”
“Ila anasifiwa nini?”
“Kazi na kitandani”
Nilizungumza neno la utani, lililo mfanya K2 kuangua kicheko kidogo huku akinitazama usoni.
“Kitandani unaweza wewe?”


“Siwezi chochote”
“Acha utani Dany, alafu nyinyi watoto wa kitanga nasikia muna tomb* kama nini”
“Ahaaa hakuna kitu kama hicho”
“Si ndio maana vile vibinti vilivyo toka mafunzoni vinawapapatikia, wangejua wananikera, nitawahamisha vitengo wote wale”
“Sasa uwahamishe kisa nini?”
“Ahaa tuyaache hayo”
Muhudumu akaweka chakula tulicho kiagiza, haraka haraka tukala, K2 akalipia chakula tulicho lipa kisha tukaondoka kwenye mgahawa huo. Safari ikaanza na kuelekea sehemu ambayo K2 kila nilipo mueleza ni wapi tunapo kwenda hakuweza kuniambia zaidi ya kuniambia kwamba nisubirie.
Tukafika kwenye moja ya jumba kubwa la kifahari, K2 akatoa rimoti na kuminya akiielekezea kwenye geti hilo, likafunguka akaingiza gari na kuminya tena rimoti ndogo na geti hilo kikafungua, kwa akili ya haraka nikagundua hapa ni kwake, japo napafahamu sehemu nyingine anapo ishi.
“Dany karibu”
K2 alizungumza huku akishuka kwenye gari, na mimi nikashuka tukakimbia hadi kwenye mlango, ili kuikwepa mvua ambayo tangu asubuhi haijakata. Akafungua mlango na kuingia kwenye jumba hilo ambalo kusema kweli ni zuri na inavyo onekana ni nyumba mpya kabisa.
“Dany hapa ni kwangu, karibu sana”
“Ehee hili jumba umelijenga lini?”
“Ahaa hii ni nyumba yangu ya siri, hakuna mtu anaye jua hapa wewe ndio wa kwanza kukuleta hapa ukapafahamu”
“Hongera mwaya, kweli wewe una haki ya kuitwa bosi”
“Acha hizo, njoo huku nikuonyeshe”
K2, mwanamama mrefu, kiasi mwenye umbo la mazoezi ila mwenye mapaja manene yaliyo beba kalio kubwa kiasi pamoja na rangi yake ya weusi wa asili inamfanya kuonekana mzuri na kijana zaidi. Tukapanda gorofani kwenye sebule kubwa yenye masofa ya kifahari.
“Hii ni sebule ambayo nitakuwa ninapumzikia”
“Duuu ipo vizuri sana”
“Dany njoo”
Nikazidi kumfwata kwa nyuma K2, tukaingia kwenye chumba kikubwa chenye kitanda kikubwa. K2 akanigeukia na kunitazama kwa macho malegevu yanayo ashiria kuhitaji kitu kutoka kwangu.
“Dany ubosi uweke pembeni, nina kitui nina hitai kukuambia”
“Kitu gani?”
“Ndoa yangu haina furaha kabisa, ndoa yangu ina nichosha sana, mume wangu hana uwezo wa kuifanya K yangu kuridhika”
“Ina maana mume wako jogoo hasimami?”
“Sina maana hiyo, yaani amekubwa bonge anakwenda bao moja na kulala, na bao lenyewe linachukua dakika tano akijitahidi ni nane anamwaga”
“Mmmmm pole”
“Yaani hali hiyo imekuwa ikitokea zaidi ya miaka sita sasa, navumilia inafika kipindi nachoka, na mimi natamani nifike kileleni ila ndio hivyo bwana baba hana uwezo”
K2 alizungumza huku akinisogelea, akanikumbatia huku machozi yakimlenga lenga. Jotolake la mwili na maziwa yake yaliyo simama yakanifanya nimkumbatia vizuri pasipo kipinga mizi, nikaishusha mikono yangu hadi kwenye makalio yake na kuyaminya kwa nguvu na kumfanya anyanyuka kidogo huku akitoa muhemo fulani ulio nizidisha kuyaminya makalio yake.


K2 alizungumza huku akaizidi kunikumbatia, nikafungua zipu ya kigauni chake alicho kivaa, nikaupitisha kiganja changu cha mkono wangu wa kulia kiunoni mwake, nikakutana na wingi wa shanga, tayari jogoo wangu ambaye alimsulubisha mama Mariam aliye anza kuvika na kumfanya K2 kujitingisha tingisha mapaja yake na kumsugua sugua jogoo wangu ambaye anatamani kutoka hata sasa nje ya suruali yangu ila nimemfanya awe mvumilivu katika hilo.
“Dany”
“Mmmmmm”
“Niweke Kidole”


K2 alizungumza huku akishusha kijisketi chake kwa haraka, akabakiwa na bikini pamoja na kishati alicho kivaa kwa juu. Kwa jinsi kitumbua chake kilivyo tuna kweli kinaonekana kina guswa guswa na hakiliwi vizuri. Nikavua suruali pamoja na boksa, bastola nikaitupia pembeni.
“Waoo, ”
“Real”
“Yeaah”
K2 akapiga magoti na kumnyonya kwa dakika kadhaa jogoo wangu, kisha akainama na kujipaka mate kidogo kwenye kitumbua, taratibu nikaanza kumuingiza jogoo wangu ashuhulikie kitumbua cha K2. Mapokezi ya K2 yakanishangaza sana ambayo ni tofauti na wanawake wote nilio wahi kuwapitia kwani wengi wao waliweza kulia ila K2 akafurahi jinsi joogoo wangu anavyo zama. Sikuona hata akibabaika wala kuugulia maumivu ila alicho kifanya yeye ni kutoa miguno ya raha huku akimkatikia.
“Ohoo Dany jogoo wako mtamu”
“Kweli?”
Nizliungumza huku nikizidisha kasi ya kukishambulia kitumbua hicho kinacho nipa utamu ambao sikuwahi kuupata. Gafla K2 akamchomoa jogoo wangu na kumuingiza kwenye mk..nd wake.

“Siwezi fanya hivyo”
Nilizungumza huku nikimchomoa, ila K2 akazidi kurudi nyuma na kumfanya jogoo wangu azidi kuingia ndani ya mknd wake yaani kinyume na maumbile yake(Tigo).


“Ohooooo”
K2 alilalama, huku akiyatingisha tingisha makalio yake malaini sana na kumfanya jogoo wangu kuzidi kuzama ndani ya Tigo yake. Joto nililo lipata katika mk..nd wa K2, sikuwahi kulipata katika maisha yangu yote ya kukutana na wanawake kimwili.

K2 alilalama huku akizidi kunikatikia viuno, sikuamini mwana mama kama K2, anaweza kumkatikia jogoo wangu ambaye sikuzote anakimbiwa na wanawake wengi. Kwa joto kali nililo lipata nikajikuta nikiwatoa waarabu weupe ndani ya mk..nd** wa mwana mama huyo.
“Ohoooo”
Nililalama, huku mwili mzima ukikumbwa na burudani kubwa inayo tawala kwa sekunde kadhaa. Nikamchomoa jogoo wangu huku nikihema sana.
“Unajisikiaje?”
K2 aliniuliza huku akinishika kifua changu kwa mkono wake wa kulia huku mkono wake wa kushoto akimshika jogoo wangu anaye anza kusinzia taratibu taratibu.
“Dany sikuamini kama mb.. yako inaujazo mkubwa kiasi hichi.”
“Ulihisi mimi ni mtoto nini?”
“Hamna kwani watoto ndio mb zao hazina ujazo?”
“Hapana, wapo watu wazima, mijibaba ila vimb* vyao ni vidogo, wala havinipagawishi”
K2 alizungumza maneno ambayo kwa sisi wafanyakazi tuliopo chini yake si rahisi kuweza kuyasikia kwa maana wengi wetu tunamuogopa kwa maana ni mtu asiye penda masihara kabisa na kazi.
“Twende tukaoge”
Tukaingia bafuni, tukaoga na kurudi chumbani. Huku kila mmoja akiwa amejichokea.
“Nikuandalie nini Dany wangu?”
“Chochote”
“Chohote ndio nini sasa Dany?”
“Ok chakula utakacho panga kunipikia mimi kwangu sawa, wacha nijilaze”
“Ok baba, napika nitakacho”
K2 akafungua kabati kubwa lililo kuwepo ndani ya chumba hicho, akatoa taulo moja jeupe akajifunga na kutoka chumbani na kuaniacha nikiwa nimejilaza kitandani.
“Huyu mwanamke amenifanyia nini?”
Nilijiuliza huku nikikumbuka kitendo ambacho sikuwahi kufanyiwa kwenye maisha yangu. Kwa utamu na raha nilizo zipata nikajikuta ninapitiwa na usingizi na kulala fofofo.
***
“Dany, Dany, Dany”
Nikafumbua macho yangu na kumkuta K2 akiwa amekaa pembeni ya kitanda huku akinitingisha.
“Mmmmmmm”
“Chakula kipo tayari”
“Ahaa sawa”
“Amka twende”
“Ni saa ngapi kwani?”
“Saa mbili sasa hivi”
Nikashuka kitandani, K2 akanifungulia kabati na kunipatia na mimi taulo, nikajifunga K2 akanisogelea akanipiga busu la mdomoni kisha akanishika mkono na kutoka ndani ya chumba hicho. Tukafika sebleni nikakuta ameandaa chakula kizuri. Akanitengea chakula, tukaanza kula huku sote tukiwa kimya.
“Hivi Dany unaifurahia hii kazi?”
“Kwa nini umeniuliza hivyo?”
“Nimekuuliza kwa maana kazi hii ni hatari kwa maisha”
“Kipindi nilipo kuwa mtoto nilikuwa naipenda kazi hii, nikajiapisha sana kwamba ni lazima siku moja niweze kuingia kwenye kazi hii. Ndio maana hadi leo ninaipenda na chochote ninacho ambiwa na ofisi huwa nafanya”
“Mshahara je unakutosha?”
“Ndio”
“Nahitaji nikupandishe cheo, uwe mlinzi wangu”
“Kwa nini bosi?”
“Dany nimesha kuambia kwamba sipendi uniite bosi, tukiwa wawili kama hivi niite K2”
“Sawa nimekuelewa”
“Ehee zungumza ulicho kuwa unahitaji kukizungumza?”
“Kama nikiwa mlinzi wako unahisi watu watahisi nini ofisini?”
“Hakuna ataaye weza kuuliza maswali kwa maana ni siku nyingi ofisi walihitaji kunipatia mlinzi wa kunilinda, ila nikawa ninakataa kwa sababu sikuwa nina hitaji, ila kwa utamu ulio nipa leo nahitaji unilinde muda mwingi nitatamani kuwa karibu na wewe”
K2 alizungumza maneno ambayo kwa upande mmoja niliyafurahia kwa maana nina tambua nikiwa karibu naye basi kazi nyingi ninazo kuwa ninazifanya zitakuwa zime pungua. Ila kwa upande mwengine uhuru wangu utakuwa umepungua.
“Mbona kimya?”
“Ahaa nilikuwa ninawaza nafasi unayo hitaji kunipatia”
“Wewe wala usiwaze kwa hilo”
“Nikuulize kitu”
“Niulize tu”
“Kwa nini unapenda nikugonge nyuma?”
“Hahahaaaa kwani unajisikiaje ukiwa unaila bata”
“Ninakula bata?”
“Ahaa Dany usitake maana”

“Ok nimekuelewa, nijibu sana”
“Yaani katika sehemu zenye hisia kali kwenye mwili wangu, basi mkund** una hisia nyingi, na unapo nifir* basi najisikia raha sana. Kama ni kum** basi imesha poteza hisia kutokana na uzembe wa mume wangu”
K2 alizungumza huku akinifwata sehemu nilipo kaa, akanikalia pamojani mwangu huku akinikodolea macho yaliyo legea.
Taratibu K2 akaanza kuninyonya midomo yangu, sikuwa na haja ya kujizuia kwa maana nimesha mpata mwanamke ambaye ameanza kunihimili mikiki kikiki yangu.
‘Ngoja nimuonyeshe huyu’
Niliwaza akilini mwangu huku nikiushusha mdomo wangu, hadi kwenye kifua chake, nikaanza kuyanyunya maziwa yake huku nikiyaminya minya. Kusema kweli K2 ana maziwa mazuri ya mviringo ambayo ukiyanyonya yanajaa kwenye lipsi. Nikazidi kuyanyonya huku nikiyaminya. K2 akachukua mkono wangu wa kulia na kuushusha hadi kwenye kalio lake.
“Nitie dole”
“Eheee?”
“Nitie dole mk..nd”
Mimamcho yakawa yamenitoka, hata kabla sijakubaliana na swala hilo nikashangaa kidole changu cha kati kikizama katikati ya makalio ya K2, liye anza kukikatikia.
‘Ohoo Mungu wangu, nini hii?’
Nilijikuta nikijiuliza maswali ila K2, wala haonyeshi kustuka naamini ni mchezo ambao amezoea kuufanya kwenye maisha yake. Kwa jotojoto ninalo lipata kwenye kidole change, nikajikuta jogoo wangu akisimama wima.
“Ohoo”
K2 alizungumza huku akijito mapajani mwangu, akapiga magoti chini na kulisogeza taulo pembeni. Akaanza kumnyonye jogoo wangu kwa fujo hukku akimsugua.
‘Usinitanie’
Nikanyanyuka kwenye kiti, nikamnanyua K2 na mumuinamisha kwenye meza. Nikaanza kumnyonya K2, mk..nd, kitu kilicho mfanya K2 kuanza kupiga makelele ya raha. Nikazidi kuonyesha ufundi wangua katika kunyonya maeneo hayo mawili ambayo wanawake wengi hupendwa kunyonywa na wale wasio pendwa kunyonywa basi wana matatizo yao weneyewe.

K2 alilalama huku akiwa amelegea sana, nikamshika jogoo wangu na kumpaka mate kidogo kisha nikamuingiza taratibu kwenye kitumbua cha K2 na kuanza kukishuhulikia, safari hii nikamuonyesha kwamba mimi ndio Dany. Sikutaka kumpa nafasi K2 ya kufanya kamchozo kake ambako sikuhitaji kukazoea kabisa kwenye maisha yangu kwani kana weza kuniletea madhara mbele ya safari.
K2 akazidi kulalama, hadi jasho likawa linamwagika, kila kitu kilicho kuwa juu ya meza tulikisukuma chini, kazi ikawa ni moja tu, piga nikupige.
“Dany utaniua”
“Tulia nakojoa sasa hivi”
“Ohoo kojoa tu, K yangu inawaka moto”
Nikazidisha kasi, na kwa jinsi nilivyo mwana mazoezi, basi pumzi nyingi ipo kifuani mwangu na ninaweza kwenda kwa spidi kubwa kwa muda mrefu pasipo kuvuta pumzi ya nje. K2 alizidi kulalama, alipo niona ninakaribia kuwamwaga waarabu weupe akamchomoa jogoo wangu na kumsokomeza mk..ndni** mwake na kuwafanya waarabu weupe kukata gafla.
“Ndio nini sasa K2?”
“Dany nawashwa please”
“Ila si unajua kuna madhara”
“Kama nimadhara ningesha kufa mimi”
K2 akizungumza safari hii jogoo wangu akaipata fresha yake kwa maana, K2 alianza kumkatikia mauno kwamba ikafikia hatua hata mimi nikaanza kufurahia anacho kifanya. Kama makusudi vile, K2 alizidi kunifanyia mambo ambayo sikuwahi kufanyiwa na mwanamke wa aina yoyote.
Waarabu weupe nikawasikia wakianza kutoka, nikajitahidi kuwakatisha kutoka kwa maana raha na utamu ninao upata kwa K2 unanifanya nijione kama mwenda wazimu.
“K2 najaaa”
“Njoo tu”
Wala sikujibu chochote tayari waarabu weupe walisha toka.
“Ohooo, mmmmm tamu baby”
K2 alilalama huku akimalizia malizia kujitingisha tingisha makalio yake, akimkatikia jogoo wangu.
“Dany”
“Ehee”
“Unajua kuukuna mk..nd wangu”
“U….u…unajua kwamba si…sipendi kufanya huo mchezo?”
“Utakuwa unafanya na mimi tu”
“Ahaa mimi sitaki kuurudia bwana”
Nililalama ila kwa upande mwengine nilijisikia raha ya ajabu sana. Tukajizoa zoa hivyo hivyo, wala hapakuwa na mtu aliye shuhulika kuokota vipande vya sahani vilivyo vunjika vunjika. Tukaingia chumbani, moja kwa moja tukaeleka bafuni tukaoga na kurudi chumbani, tukajitupa kitandani, taratibu K2 akanisogelea na kukilaza kichwa chake kifuani mwangu.
“But Dany nakuomba unipende”
“Ila kumbuka wewe ni mke wa mtu”
“No Dany, nahitaji huduma yako kama nilivyo kuambia hapo awali, mume wangu hajimudu kabisa”
“Sawa ila si umefunga naye ndoa na kuzaa naye mtoto”
“Ndio Dany ila hivyo vyote sio sababu ya wewe kushindwa kunipenda mimi”
K2 alizungumza kwa sauti ya unyonge, kusema kweli katika maisha yangu yote tangu nijiunge katika kikosi cha upelelezi, sijawahi kuwa na moyo wa kupenda, na siku zote tangu tulivyo kuwa mafunzoni tulifundishwa kuto kupenda na kuyakimbia mapenzi kwani ndio chanzo kikubwa kinacho weza kupelekea mtu kuanza kuvujisha siri za taifa. Usingizi ukaanza kumpitia K2 na mimi wala sikuchukua muda ukanichukua.
***
Asubuhi na mapema, tukapiga mechi ya kuagana. Mechi hii, ikawa na machanganyiko wa kila aina kwani tayari katabia ka kumla bata wa K2, kalisha nivaaa. Tulipo maliza, tukaoga kila mtu akavaa nguo zake. Kutokana ni siku ya mapumziko. Tukaondoka nyumbani hapo na kuelekea kwenye moja ya hoteli. Tukapata kifungua kinywa, kisha K2 akanirudisha nyumbani kwangu.
“Kesho uwahi ofisini sawa”

“Sawa”
K2 akafungua pochi yake na kunikabidhi noti za dola mia zipatazo kumi.
“Zitakusaidia saidia kwenye matumizi yako ya leo”
“Asante”
“Ila Dany kumbuka, hii iwe siri kati yako na mimi, tukiwa ofisini heshima ibaki pale pale”
“Sawa bosi”
K2 akanipiga busu mdomoni, kisha nikashuka kwenye gari lake, nikasimama hadi lilipo ondoka ndipo nikafungua geti na kuingia ndani. Macho yangu yakakutana na Mariam akiwa amekaa kwenye kibaraza. Nikapandisha ngazi mbili hadi kibarazani.
“Dany mambo?”
Mariam alinisalimia kwa furaha, nikatabasamu kidogo huku nikimtazama usoni.
“Poa vipi?”
“Safi tu”
Nikapiga hatua mbili mbela kabla sijaufikia mlango nikarudi nyuma na kumuangalia Mariam aliye shika kinacho onekana kina hadisi anakisoma.
“Unasoma kitabu gani?”
“Ahaaa kinaitwa TANGA RAHA”
“Kinahusiana na nini?”
“Mapenzi, visa, majini”
“Ok, hivi kwa nini hukumpatia mama yako pesa ya luku niliyo kupatia?”
Mariam akaka kimya huku akiwa amenikodolea macho, hakujibu chochote kwa haraka haraka nikatambua kwamba amesha ila, kwa maana maisha anayo ishi yeye na mama yake ninayafahamu japo kwa asilimia chache kwani mama yake hana kazi yoyote zaidi ya kutegemea kodi zetu tunazo lipa kila baada ya miezi mitatu.
“Ok tuachane na hayo ukimaliza kusoma hicho kitabu unipatie na mimi”
“Sawa”
Nikamuacha Mariam na kuelekea chumbani kwangu. Mwili mzima kwa siku ya leo umechoka sana kutokana na mikiki mikiki ambayo tumepeana na K2. Nakazitoa noti za dola mia nilizo kuwa nimepewa na K2 na kuziweka mezani huku juu yake nikiweka waleti yangu. Nikaitoa bastola yangu na kuirudisha sehemu ambayo ninaificha. Nikavua nguo zangu zote na kujilaza kitandani. Nikakumbua simu yangu, nikanyanyuka kitandani na kuichukua suruali ambayo nilikuwa nimeivaa, nikaiwasha simu yangu ambayo imeisha chaji tangu jana pasipo mimi mwenyewe kujua, nikaichomeka kwenye chaji, mfululizo wa meseji zikaanza kuingia. Meseji nyingi nikakuta ni za Mama Mariam akiniuliza ninarudi muda gani.
“Hodi?”
Nikaisikia sauti ya Mariam mlangoni nikanyanyuka na kuvaa pensi yangu huku kifua kikiwa wazi, nilipo ona nimejistiri maeneo ya chini nakamruhusu Mariam kuingia. Cha kwanza Mariam kunitazama, ni kifua changu kilicho gawanyika gawanyika kwa mazoezi ninayo yafanya kila siku. Akazitazama nywele zangu nyingi zilizopo kifuani hadi tumboni, kisha nikamshuhudia akimeza mate, huku akishusha pumzi.
“Nini?”
“Ahaaa nimekuletea kitabu”
“Kiweke hapo mezani”
Mariam alipo yatupa macho yake mezani na kuona noti za dola mia mia, nikaona kama amepagwa fulani. Akakiweka kitabu hicho mezani na kubaki amezikodolea macho noti hizo hadi nikamstua kwa kumuongelekesha.
“Unashangaa nini?”
“Dany kumbe na wewe unamiliki dola?”
“Ndio kinacho kishangaza”
“Ndio, kwenye maisha yangu sijawahi kuigusa hii pesa zaidi ya kuiona kwa watu au kwenye tv”
“Iguse kisha utoke”
“Jamani Dany, hunipi hata moja?”
“Nikikupa utanipa nini?”
Nilimuuliza Mariam kwa utani, kwa maana tangu nifike kwenue hii nyumba, Mariam ametokea kunizoea na mara kadhaa huwa tunataniana sana.
“Mmmmmm nitakupa my ”
“Kwenda huko, una ubavu huo?”
“Ahaa Dany unahisi niutani, nipe uone kama sikuvulii nguo hapa”
Nikamtazama Mariam kuanzia chini hadi juu, mwili wake wenye urefu kama futi tano hivi, umeumbwa kwa mfumo ambao kama ningekuwa ni injinia wa kuunda magari basi ningeuundia magari, makalio makubwa na hispi nene zilizo chomoza pembeni, huwa zinampa maksi kubwa sana ya uzuri wake, ukiachilia rangi ya weupe wa sura yake pamoja na kifua chake kilicho bebe chuchu ndogo. Kitu ambacho kinauzuia uzuri wa Mariam kuonekana ni matunzo, hali duni ya ufukara ndio inayo mfanya hadi kuonekana kuwa hivi.
“Mama yako ameenda wapi?”
“Amekwenda kwenye vikoba vyao si unajua leo ni jumapili”
“Ahaa sawa, chukua noti moja uende saluni sasa hivi”
“Kweli Dany”
“Nitaghairi sasa hivi, chukua moja tu”
Maria akachukua noti moja kwa haraka kisha akanikumbatia kwa nguvu na kuanza kunipiga mabusu mfululizo mashavuni mwangu, busu la mwisho lililo nisisimua ni busu la mdomo. Lipsi zake ndogo kiasi ila zenye unene kiasi, zilipogusana na zangu, nikajihisi kitu cha tofauti sana hadi ndani ya moyo wangu. Ni wanawake wengi sana ambao ninawabusu ila huku Mariam amenipa msisimko ambao umenishangaza kwa kiasi kikubwa. Mariam akaniachia akataka kuondoka, ila nikamdaka mkono na kumtazama kwa macho ya matamanio nikatamani arudie japo kwa sekunde kadhaa kunipa busu kama hilo.



“Nini tena mbona unanizuia?”
Mariam alizungumza huku akitabasamu, nikamtazama Mariam usoni mwake, nikazidi kugundua mambo mengi sana, hususani wa uzuri wake.
“Aaaha….hakuna kitu”
“Haya niachie nikaichenchi kwanza”
“Unajua zinapo chechiwa?”
“Ndio nachukua bodaboda hadi Mlimani City”
“Ahaaa sawa niletee zawadi basi?”
“Unataka zawadi gani?”
“Yoyote”
“Yoyote kweli?”
“Ndio”
“Sawa ngoja niende”
Nikamuachia Mariam, aliye anza kunipagawisha, akatoka chumbani kwangu na kuufunga mlango. Nikawasha feni langu na kupanda kitandani. Kila nilipo jaribu kuyafumba macho yangu, picha ya Mariam ikanijia kichwani na kukumbuka busu alilo nipatia.
“Huyu mtoto ana nini?”
Nilijiuliza huku nikijigeuza geuza kitandani kwa maana sio kawaida ya mimi kuweza kupagawishwa na busu tu, tena la msichana kama Mariam ambaye anaishi maisha ya kawaida tu. Kila nilipo jaribu kulala sikuweza mwisho nikaamua kunyanyuka kitandani na kusha tv kufwatilia mechi za mpira zinazo onyeshwa kila mwisho wa wiki.
Masaa yakazidi kwenda na kukatika. Hadi inatimu saa tatu kasoro, ndipo nikakumbuka kwamba sijaweka kitu chochote tumboni mwangu tangu nilipo kula na K2 asubuhi. Nikanyanyuka, nikachukua tisheti yangu kabatini, kabla sijatoka, mlango wangu ukagongwa.
“Nani?”
Sikujibiwa zaidi ya mtu huyo kugonga mlango tena, ikanibidi kupiga hatua hadi mlangoni ambapo, nikaufungua kwa tahadhari, nikamkuta Mariam amesimama huku mkononi ameshika mfuko mweupe wenye maandishi ya kijani ‘NAKUMATI’
“Tanataraaaaaaa suprizee”
Mariam alizungumza huku akiingia ndani, nikamtazama jinsi alivyo pendeza, hapo sasa asilimia za msukumo wa kimapenzi zikazidi kupanda moyoni mwangu. Suruali nyeusi aliyo ivaa, imeyabana makalio yake vizuri na kuzichonga hispi zake nene kiasi. Kjijiguo cha juu alicho kivaa, kiliyabana maziwa yake yaliyo simama vizuri, huku nywele zake alizo ziongezea na vigi lenye rangi ya gold zilishuka hadi mgongoni.
“Nimekufanyia shooping ya vitu vya ndani”
“Wacha wee”
“Ndioooo. Kwa maana natambua mabachela siku zote huwa hawanunui vitu, nikifungua friji naweza nikakuta halina kitu”
“Wewe umejuaje?”
“Nimejua tu”
Mariam akaweka mfuko juu ya meza, akapiga hatua hadi kwenye kafriji kangu ambako si refu kwenda juu. Akainama na kutazama ni vitu gani ambavyo vipo kwenye friji langu. Kitendo cha yeye kuinama huku makalio yake akiwa ameyaelekezea kwangu, nikabaki nikiwa nimekodoa macho. Akasimama huku akiwa ameshika sahani, akaniongelesha ila kusema kweli nikabaki nikiwa nimemkodolea tu macho wala nisielewe ni kitu gani ambacho anakizungumza.
“Dany si nakuongelesha”
Mariam alizungumza huku akiwa amenishika mkono, ndipo nikarudisha kumbukumbu zangu na kumtazama usoni vizuri.
“Ulikuwa unasemaje?”
“Ahaaa ina maana umesimama hapa na hapa hujanisikia?”
“Akili yangu nahisi haikuwa hapa”
“Mmmmm kwa hiyo ilikuwa wapi?”
“Tuachane na hayo, sema ulikuwa unasema…..?”
“Hizi soseji kakupikia nani?”
“Nimepika mwenyewe”
“Mbona kama sahani ni yakwetu hii?”
“Acha utoto unataka kusema kwamba sahani hizo zipo kwenu tu”
“Zimefanana”
Mariam alizungumza huku aking’ata soseji moja, akaaiweka sahani mezani, akaanza kupanga vitu alivyo leta huku vingi vikiwa ni vijwaji. Alipo maliza akalifunga friji na kunigeukia.
“Sasa hiyo ndio zawadi yako”
“Asante”
“Kuna matunda, soda, juisi za kopo, maziwa ya kopo. Ila niliogopoa kukununulia bia nikajua wewe si mnywaji”
“Na kweli mimi sio mywaji. Ila nina njaa nataka kwenda kununua chakula”
“Ohoo nilitaka nikujie na piza, ila nikaona uvivu kubeba mboksi wake”
“Haina shida”
“Basi twende wote”
“Wapi?”
“Si huko unapotaka kwenda kununulia chakula”
“Mama yako yupo?”
“Bado hajarudi”
“Poa”
Nikazima Tv, tukatoka ndani Mariam akatangulia nje na mimi nikamalizia kuufunga mlango wangu kisha nikaanza kutembea kwenye kordo ndefu, vyumba viwili kabla sijatoka nje kabisa nikasikia kilio katika chumba cha kushoto kwangu, huku sauti ya mwaume ikigomba sana.
‘Wanagombana nini hawa nao?’
Nilijisemea kimoyo moyo huku nikipiga hatua mbili mbele kabla sijafika hata mlango wa kutokea nikastukia kumuona Asma akitoka mbio ndani kwake huku akiwa amejifunga kanga moja, akilia akionekana kukimbia kipigo cha mume wake. Sija kaa sawa mume wake naye akatoka kasi akiwa ameshika kisu mkononi mwake akielekea uwani ambapo ndipo alipo kimbilia Asma.
Bila hata ya kutaka kupoteza muda na mimi nikakimbilia uwani kwa kasi nikamkuta Jumaa akimfwata Asma kwa hasira haku kisu akiwa amekinyanyua juu. Kwa haraka nikamuwahi Jumaa na kumdaka mkono alio shika kisu.
“Jumaa unataka kufanya nini wewe”
“Niachie nitamuua huyu malaya”
“Mwanamke hapigwi hivyo Jumaa”
“Toka hapa na wewe ms..nge, ina kuhusu nini?”
“Nashukuru kwa matusi yako ila usifanye hivyo Jumaa”
Nikastukia Jumaa akinipiga kisukusuku cha kifua na kunifanya nimuachie mkono wake alio shika kisu, kitendo hicho kinanifanya nikasirike, nikamuangalia Asma aliye jibanza kwenye ukuta wa fensi ya nyumba yetu, asijue ni wapi atakimbilia.



ITAENDELEA............

Maoni 4 :

  1. Unazngua we dogo mwandishi hadithi ni nzuri ila haina mzuka tumia maneno ya utamu sasa jogoo sijui bastola ndo nini weka maneno matam ya kunyegesha

    JibuFuta
  2. Unazngua we dogo mwandishi hadithi ni nzuri ila haina mzuka tumia maneno ya utamu sasa jogoo sijui bastola ndo nini weka maneno matam ya kunyegesha

    JibuFuta
  3. Mpenzi wangu aliachana na mimi, najua ilikuwa kosa langu ambalo lilimfanya aachane na mimi, akanipata nikiongea juu yake, kuna kijana niliyemwita rafiki yangu alinivuta na kufanya naye mapenzi kisha mpenzi wangu akatushika, basi aliachana na mimi, ninampenda sana, nilifurahisha kwa wiki na miezi hakukubali kunikubali, nilikuwa nikisoma mkondoni jinsi ya kumrudisha mpenzi wangu basi nilikuta na makala juu ya jinsi mwanamke alirudi Mumewe aliyempa talaka, alisema kuwa Dk Lomi amsaidia alifanya sala kadhaa na mumewe amerejea kwake, basi na mimi nikawasiliana na Dr Lomi na kuelezea kile kilichotokea kisha akanisaidia kufanya maombi kadhaa na mpenzi wangu akarudi akiniombea alijuta kuwa bado ananipenda na leo tumerudi pamoja na naahidi kamwe hatutazungumza juu yake na leo tunafurahi, ikiwa unahitaji pia Msaidizi wa Dk Lomi kuwasiliana naye kwenye Line ya nambari ya WhatsApp; +2349034287285 unaweza pia kumtumia barua pepe; lomiultimatetemple@gmail.com kwa msaada

    JibuFuta
  4. Mimi ni Black Rambo kutoka Grammy, ninafanya kazi katika Kambi ya Grammy, mke wangu alifariki mwaka 6 iliyopita na tangu nimekuwa nikimtunza mwanangu pekee aitwaye Clinton, rafiki yangu wa ushauri wangu wa kumtafuta mke, kwenye upekuzi wangu nilikutana na Jennifer alikuwa na mwanamke wa Kiingereza, Nilimpenda sana kiasi kwamba ningeweza kumpa kila kitu alichokuwa na umri wa miaka 37, baada ya muda fulani wa uchumba nilikuwa na mapenzi sana naye, tulikuwa na kutokuelewana, na alivunja na mimi na ninamsihi arudi mwanangu aitwaye alisema Hapana, kwamba amempata mtu mwingine, na tunapendana sana baada ya siku kadhaa nilisoma makala kuhusu jinsi Dk Lomin anaweza kusaidiana , Niliamua kutoa jaribu, nawasiliana na Dk Lomi kwa msaada aliniambia nini cha kufanya ili kumrudisha mpenzi wangu niliyefanya, alifanya maombi na Jennifer alikuwa nyuma ananipenda na kunithamini zaidi sasa, na tuna wakati mzuri wa maisha yetu, Dk Lomi pia kuandaa baadhi ya mimea ya asili ambayo imenifanya niwe na nguvu na afya tena sasa nahisi kama kijana niliyemridhisha vizuri sana sisi sote tuna furaha, wasiliana na Dk Lomi kwenye WhatsApp namba +2349034287285 au barua pepe yake kwenye lomiultimatetemple@gmail.com ANA SULUHISHO BORA KWAKO.

    JibuFuta