Faida za kutoka out na yule umpendaye - Linda Penzi Lako

Breaking

Pages

Ijumaa, 12 Novemba 2021

Faida za kutoka out na yule umpendaye

Wapo baadhi ya wanadoa wengi wao ukiwauliza mara  ya mwisho walitoka out lini na wanza wao? huenda majibu yao yakakunyima raha kabisa, huenda majibu yao yakakunyima raha kwa sababu wapo wataokwambia hawajawahi kabisa kufanya hivyo, lakini wapo baadhi watakaokwambia mara ya mwisho walifanya hivyo walivyokuwa kwenye hatua ya uchumba pamoja na majibu mengine kama hayo. 

Ila ukweli ni kwamba moja kati ya vitu vinavyongeza radha mwanana katika mahusiano ya ndoa ni pamoja na kutoka matembezi na yale umpendaye (out). Kutoka matembezi (out) kuna faida lukuki katika mahusiano miongoni mwa faida hizo ni pamoja na kuonesha unamjali na kumheshimu sana yule umpendaye.

Kutoka matembezi huenda kwako ukaona kama ni kitu cha kipuuzi sana,  ila usichojua ni kuwa  kutoka out wakati mwingine  kunasaidia sana kumpa uhuru yule uliyenaye kwenye mahusiano ya ndoa kuweza kuongea hata yale ambayo mtu huyo mara nyingi alikuwa haongei.  Nadhani kwa wale wenye tabia hii ya kutoka out na wenza wao watakubalina na ukweli huo. 

Kutoka out husaidia sana kwenye mahusiano ya ndoa kwa sababu wakati mwingine huenda huko out mkapanga mipango ambayo ni mziuri itakayowasiaidia kuweza kupata maendeleo yenu binafsi na yenye kuleta mafanikio makubwa sana maishani mwenu. 

Enyi watu wote mlioko kwenye mahusiano ya ndoa jifunzeni kutoka matembezi (out ) maana kuna faida sana. Usiwe ni mtu ambaye upo bize kwa siku zote 365 kwa mwaka bali, jitahidi kutenga siku kadhaaa kati hizo kwa ajili ya kufanya matembezi na yule umpendaye.

Na; Benson Chonya.








Maoni 1 :

  1. Baada ya miaka 2 ya kutengana, sasa tumeunganishwa tena kwa furaha! Mimi ni Judith Kamau kutoka Eldoret, kenya. Kwa miaka 4 niliishi katika ndoa yenye unyanyasaji, lakini baada ya kusoma ushuhuda kadhaa kuhusu Dk John katika makala mtandaoni. Niliamua kuwasiliana naye kwa spell maalum. Nilishangaa aliponiambia kwa usahihi matatizo yangu yote ya zamani na ya sasa na alinifunulia kuwa mume wangu alikuwa kwenye uhusiano na mwanamke mwingine. Dokta John alisema kuwa atanisaidia kumtenganisha yule mwanamke mwingine na mume wangu, nilifuata maelekezo yote aliyonipa na akafanya uchawi maalum uliotuunganisha mimi na mume wangu. Leo tunaishi pamoja kwa furaha.
    Unaweza kuwasiliana naye kupitia njia hii ili kupata suluhu la uhusiano wako au matatizo ya ndoa yako:

    Barua pepe:doctorjohn909@gmail.com.

    JibuFuta