SIMULIZI: Jamani Unaniuaaaaaa (Sehemu ya 2) - Linda Penzi Lako

Breaking

Pages

Jumamosi, 25 Agosti 2018

SIMULIZI: Jamani Unaniuaaaaaa (Sehemu ya 2)


IMEANDIKWA NA : EDDAZARIA 


*********************************************************************************

SIMULIZI : Jamani Unaniuaaaaaa
Sehemu Ya  (2)

Tulipoishia....

Kwa haraka nikamuwahi tena Jumaa, mkono wake ule ule ulio shika kisu. Nikaukunja kwa haraka na kumgeuza Jumaa, nikampiga mtama mmoja mkali ulio muangusha chini kama zigo la kuni. Nikavikunja vidole vya viganja vya mkono wake ulio shika kisu na kumfanya Jumaa kutoa ukelele mkali.
“Utarudia tena kumpiga mkeo?”
Nilimuuliza Jumaa kwa ukali huku nikizidi kuvikunja vidole vyake kwa kuvirudisha nyuma. Asma na Mariam ambaye sikujua hata ameingia saa ngapi huku uwani walibaki wakiwa wamesimama huku wametukodolea macho. Jumaa kwa jeuri hakujibu kitu chochote na kunifanya nizidishe kuvikunja vidole vyake, hapo ndipo Jumaa alipo zidi kupiga kelele kwa maumivu makali.
“Simpigi, Simpigi”
Jumaa alizidi kulalama kwa maumivu.
“Muombe msamaha mke wako”
“Ehee”
Nikazidi kumkunja kiganja chake na kumfanya Jumaa aanze kumuomba msamaha Asma aliye jkunyata kwa woga.
“Dany msamehe bwana”
Mariam alizungumza huku akinitazama usoni. Nikamuachia Jumaa huku nikumkazia macho makali. Taratibu Asma akamfwata mume wake na kunyanyua chini nilipo mlaza. Jumaa akanitazama na macho makali kisha wakaondoka na mke wake na kuelekea chumbani mwao.
“Twende zetu”
Mariam alizungumza, sikumjibu kitu chochote zaidi ya kutoka nje huku akinifwa kwa nyuma. Tukakatiza mitaa miwili na kufika kwenye kimgahawa kimoja ambacho wanauza vyakula mbalimbali.
“Agizia unacho hitaji”
“Ndio unazungumza na sauti nzito hivyo, au bado una mahasira yako?”
Mariam alizungumza huku akinitazama usoni mwangu, nikashusha pumzi na kurudi katika hali ya kawaida. Akaja muhudumu, akatuuliza tutatumiua nini.
“Nahitaji nyama choma ya ng’ombe na bia”
“BIA…..!!?”
Maarim aliniuliza kwa mshangao, hadi muhudumu akastuka.
“Ndio kwani vipi?”
Mariam hakujibu kitu zaidi ya kuagiza kitu ambacho ana hitaji. Haikuchukua muda sana chakula kikaletwa pamoja na vinjwaji.
“Dany kumbe unajua kupigana eheee?”
“Kwa nini?”
“Nimeona jinsi ulivyo mkaba Jumaa, yaani yule kaka kila siku anakazi ya kumpiga mke wake”
“Hivi chanzo kinakuwa ni nini?”
“Wivu tu waa ajabu, jaani Jumaa hataji hata mke wake awe na marafiki wa kike. Ni ndani nay eye”
“Mpuuzi, nikisikia tena nitamlaza ndani”
“Utamlaza ndani?”
“Aahaa tuachane na hayo”
Jinsi Mariam anavyo kula chajula chake, nikawa na kazi ya kumchunguza uzuri wake. Kitu ambacho hakikuwahi kutokea kwenye maisha yangu ni kushindwa kumtongoza mwanamke ambaye nina muhitaji, ila kwa Mariam nikajikuta ninakuwa mzito sana kutamka kitu chochote. Kadri muda na msaa yanavyo zidi kwenda ndivyo jinsi nilivyo zidi kuzigida pombe kushindana na hisia, nikiamini kwamba nikiwa nimekunywa sana nina weza kumtamkia Mariam kwamba nina mpenda.
“Dany inatosha bwana, usinywe tena pombe”
“Kwa…kwani hii ni bia ya ngapi?”
“Bia ya tisa”
“Ahaa tisa mbona chache”
Sauti yangu ilibadilika kabisa na kuwa sauti ya kilevi. Mariam akaninyanyua kwenye kiti nilicho kalia. Nikasimama wima, na kutoa toti za shilingi elfu kumi zipatano nane na kumkabidhi muhudumu, sikuhitaji kujua anatudai bei gani kwa maana kiasi nilicho mpa ni kikukbwa kuliko na kiasi ambacho tumetumia eneo hilo.
“Dany tuchukue bajaji”
“Bajaji….!! Bajaji ya nini sasa?”
“Umelewa wewe huwezi kutembea njiaa nzima na sasa hivi muda umekwenda”
“Kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
Mariam akatoa simu yake mfukoni mwa suruali na kuangalia saa.
“Ahaa saa sita na nusu usiku”
“Sasa unasema usiku kwani sioni giza”
“Dany acha masihara bwana, tazama hapa umesimama tu unayumba yumba”
“Ahaa kwanza sihitaji kurudi nyumbani kwa sasa”
“Ahaa!!”
“Unashangaa nini sasa. Mimi sihitaji kurudi nyumbani”
“Sasa unataka kwenda wapi jamani Dany, kumbe ukilewa unakuwa na vituko kiasi hichi”
“Ahaa achana na mimi nataka kwenda kulala kwenye hoteli moja nzuri”
“Mungu wangu, sasa Dany unataka kwenda hoteli gani?”
“Wewe rudi nyumbani, mimi nakwenda kulala hotelini”
“Siwezi kurudi mwenyewe kama vipi nikudishie bajaji inipeleke nyumbani”
Mariam akaita bajaji moja, akaingia kwenye bajaji na mimi nikaingia kwenye bajaji.
“Ahaaa wewe si umesema unataka kwenda kulala hoteli nzuri vipi tena na huku?”
“Hei dereva tupeleke KC Hoteli”
“Sawa kiongozi”
“Dany mimi nakwenda nyumbani, nataka nikalale mapema kesho nina mtihani asubuhi chuoni”
“Unataka kulala mapema gani, wakati saa hizi inakwenda saa saba. Dereva endesha bajaji”
“Dany kumbe ukilewa upo hivi”
“Nipoje”
“Mmmm haya, ukifika hotelini dereva ananirudisha nyumbani”
Bajaji ikafika katika hoteli niliyo hitaji kufika. Nikamlipa kiasi anacho kihitaji. Nikashuka na Mariam naye akashuka.
“Unakwenda wapi?”
“Sirudi mwenyewe nyumbani”
“Rudi wewe, mama yako atakuchapa”
“Ahaa nimekuwa mtu mzima nirudi nisirudi hilo halimuusu”
Sikuwa na chakuzungumza huku moyoni mwagu nikiwa na furaha sana kwa maana naona Mariam anaingia kwenye kumi na nane zangu. Nikalipia chumba kimoja wala Mariam hakuzungumza chochote zaidi ya kukaa kimya akaanza kunifwata kwa nyuma, tukapandisha hadi gorofa ya pili kisha tukaingia katika chumba amacho nimelipia.
Kitendo cha kufunga mlango kwa funguo, nikamuwahi Maria kwa nyuma na kumshika kino, kwa haraka Mariam akakurupuka mikononi mwangu na kunigeukia. Akanitandika kofi moja zito la shavu huku akiachia msunyo mkali na mzito.
“Mimi sio malaya wa kujirahisha kwa mwanaume, na sijakuja hapa ili unipige mzigo, lala zako kitandani mimi nitalala hapa kwenye kochi”
Mariam alizungumza huku akiwa amekunja sura, akapiga hatua hadi lilipo sofa akajirusha na kukaa, huku akinikazia macho makali.



Sikuamini kwamba Mariam anaweza kuwa mkali sana kwenye hili. Kwa mtazamo wa haraka haraka ukimtazama unaweza kusema kwamba ni msichana anaye jirahisisha sana katika kulitoa penzi lake. Moja kwa moja nikajitupa kitandani huku nikijisikia aibu sana kwa kitu ambacho nimekifanya kwa Mariam kwa maana sikuhitaji kuweza kukifanya kwa haraka.
Kwa msongamano wa mawazo mengi nikajikuta nikipitiwa na usingizi. Simu iliyopo mfukoni mwangu ikanistua kwa mlio wake nilio uweka katika mfumo wa mtetemesho(vibration). Taratibu nikaitoa mfukoni na kuitazama nikiwa na mawenge ya usingizi sana na kukuta anaye piga simu ni K2.
“Haloo”
“Umeamkaje?” “Salama tu” Nilizungumza huku nikijinyanyua kitandani, moja kwa moja nikayatupia macho yangu kwenye sofa na kukuta Mariam akiwa hayupo. Kwa haraka nikanyanyuka kwenye kitanda huku simu yangu ikiwa kwenye sikio.


“Vipi umesha jiandaa kwenda kazini?” “Ahaa ndio” “Sawa, mimi ndio natoka, yaani hapa nina hamu na wewe, natamani nije hata kwako unipatie japo goli moja kisha twende kazini” “Usijali luch tutaonana” Nilizungumza huku niki nimefungua mlango wa bafuni na kumkuta pia Mariam hayupo. Nikatazama saa ya ukutani na kukuta ni saa kumi na mbili na nusu.
“Ok basi ngoja mimi nitangulie”
“Sawa”
Nikakata simu na kuirudisha mfukoni. Nikatoka chumbani na moja kwa moja nikaeleka katika barabara, nikamuita bodaboda wa pikipiki na kumuomba aniwahishe nyumbani kwa haraka. Akafanya hivyo, hadi ninafika snyumbani ni saa moja kasoro. Nikampa dereva pikipiki pesa yake. Kitendo cha kufika getini nikakutana na Mariam uso kwa uso akifungua geti akiwa amevalia tisheti ya chuo hicho cha ualimu huku akiwa ameshika mkobwa wake mdogo.
Mariam akanitazama kwa jicho kali huku akisimama, akanipita na kuondoka zake, akapanda pikipiki niliyo kuja nayo. Nikaingia ndani na kukutana na mama Mariam kwenye kordo akitoka kuoga.
“Mambo Dany” “Poa shikamooo mama” “Marahaba” Kutokana nimechelewa sana kazini, sikutaka hadithi na mama Mariam. Moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu nikafungua. Nikachukua taulo na kuelekea moja kwa moja bafuni. Haraka haraka nikaoga na kurudi chumbani kwangu na kumkuta mama Mariam akiwa amekaa kwenye sofa la chumbani kwangu huku akiwa amevalia kanga moja iliyo lowana lowana maji na kuufanya mwili wake kushikana na kanga hiyo.
“Nimekuletea taulo lako” “Asante naomba utoke nahitaji kwenda kazini sasa hivi” “Mmm Dany, ndio haraka haraka hivyo hata sijakufaidi vizuri” “Mama Mariam tafadhali ninakuomba utoke ninawahi kazini bwana” Mama Mariam akasimama na kunisogelea sehemu nilipo simama, huku akiifungua khanga yake na kuiangusha chini.
“Dany jogoo wako kila ninapo mfirikira mwili mzima huwa unianisisimka, tafahdali nipatie japo kimoja. Jana usiku mwenzako sijalala nimekesha kwa kujitia vidole, tafadhali mpenzi” Mama Mariam alizungumza huku machozi yakimlenga lenga. Akanisogelea na mkono mmoja akaupitisha kiunoni mwangu na kunishika kiuno.
“Hivi ni kweli Dany utaniacha na nyege zote hizi, hembu tazama hadi huku chini kumesha anza kuvuja” Mama Marima alizungumza kwa vitendo huku akinionyesha manii jinsi zinavyo teremka taratibu kwenye mapaja yake.
Jogoo wangu taratibu akaanza kunyanyuka nyanyuka taratibu. Mama Mariam akagundua hilo na kuuleta mkoo wake mwengine kwenye taulo na kulisogeza taratibu na kumshika jogoo wangu.
“Mama Mari…..” “Noooo”
Tayari Mama Mariam alisha nisikumia kwenye kitanda. Akamuingiza jogoo wangu mdomoni mwake na kuanza kumnyonya kwa pupa, jinsi mama Mariam anavyo zidi kumnyonya jogoo wangu ndivyo jinsi nilivyo zidi kupagawa kwa raha.



“Aisiiiiiii………” Mama Marim alizungumza huku akimkalia jogoo wangu. Sikuamini kumuona jogoo wangu akizama wote kwenye kitumbua cha mama Mariam ambaye jana yake alihisi kufa kufa nilipo mzamisha. Kwa unene wa mapaja na makalio ya mama Mariam, jinsi alivyo kua akipanda juu na kushuka chini, ukaanza kusikila mlio wa PWAAAA PWAAA PWAAA.
Mama Marim akawa kama amenipania, kwa maana ana muhimili jogoo wangu kwa kila namna anavyo mpeleka ndivyo nilivyo zidi kuchanganyikiwa na mauno yake, hadi jasho likawa linamtiririka.
“Dany nakuja, nakuja, nakujaaa………” Mama Marim alizungumza huku akiongeza kasi ya kukama kiuno, ikafikia kipindi akanilalia kifuani huku akiendelea kukipeleka kasi kiuno chake, na kuanza kuwafanya waarabu weupe kuanza kujiandaa kutoka.
“Dany nakojoo, nakojooa mama yangu weeeeee” Mama Mariam mwili wake mzima akakakamaa, hadi kwenye kitumbua chake na kumfanya jogoo wangu apate joto maradufu. Pasipo kutegemea nikajikuta waarabu wangu wote wakishilia kwenye ndani ya kitumbua cha mama Mariam.
“Mamamaeee, wee mtoto, jogoo yako umeipaka nini?” Mama Marima alizungumza huku akijinyanyua kifuanai mwangu, jogoo wangu akawa bado hajatoka kweneye kitumbua chake, akajitingisha tingisha huku akiwa ameing’ata midomo yake kwa hisia kali sana.
“Kwa nini?” “Ahaaa sijapata ona, jogoo tamu kama yakwako”
“Hakuna kitu” “Mmmmmm…….” Mama Marim aliguna huku akijimchomoa jogoo wangu taratibu na kusimama. Nikanyanyuka kitandani na kuliokota taulo langu chini. Nikajifunga kiunoni kwa haraka haraka, nikaitazama saa yangu ya ukutani na kukuni ni saa moja na nusu asubuhi.
“Shiitiii, nimechelewa kazini” Nikatoka chumbani kwangu kwa haraka na kueleka bafuni kwa maranyingine. Nikaoga na kurudi chumbani kwangu na kumkuta mama Mariam akiwa ameliekekezea feni kwake limpepe jasho limwagike. Nikafungua kabatini na kutoa suruali nyeusi, shati yeupe la mikono mirefu pamoja na koti jeusi.
“Unavaa suti leo?” “Ndio” Nilizungumza huku nikijifuta maji mwilini mwangu. Nikavaa boksa, kisha suruali, nikafwata shati pamoja na koti lake.
“Ufungo tai” Mama Mariam akasimama na kulisogeea kabati langu. Akatazama tai nilizo zining’iniza. Akachukua tai moja yeusi na kuanza kunifunga shingoni.
“Daaa tukio hili linanikumbusha mbali sana”
“Wapi huko?”

“Kipindi marehemu baba Mariam, akiwa anaamka kwenda kazini, mara nyingi nilikuwa ninapenda kumfunga tai yake” “Ahaaa, sawa” Mama Mariam akaniletea viatu nyeusi nilivyo viweka nyuma ya mlango, kwneye sehemu maalumu ya kuviweka. Akanivalisha soksi pamoja na viatu akaniweka vizuri tai yangu pamoja na koti.
“Hapa sas umependeza mpenzi wangu” “Asante”
“Ila Dany wewe ni mzuri, kama mwanamke hiyo sura yako”
“Acha hizo” “Kweli Dany yaani una macho ya kike, kitu kilicho kuokoa ni umbo lako, la mazoezi la sivyo ukijifunga kanga kichwani watu wanakutongoza” Mama Mariam alizungumza katika hali ya kutabasamu. Kitu kilicho niumiza kichwa ni jinsi gani ninaweza kuitoa bastola yangu niliyo iweka chini ya kitanda kwa maana sipendi mtu yoyote kuweza kuifahamu kazi yangu na endapo mama Mariam ataiona silaha hiyo ni lazima atakuwa na maswali mengi mengi yatakayo nikere na kunipa wakati mgumu sana.
“Ok naomba uchukue kanga ujifunge nahitaji kutoka sasa mama” “Ila Dany, unaonaje ukaniachia funguo yako nikakufanyia usafi kwa maana huwezi kutoka na kukiacha kitanda kama hivi” “Ahaa bado mapema sana, huko mbele mbeleni nitakuwa nina kuachia ufunguo”
“Ina maana huniamini si ndio?”
“Sio kwamba sikuamini, ila bado mama”
“Sawa” Mama Mariam akaokota kanga yake na kujifunga vizuri, akapiga hatua hadi mlangoni akasogeza pazia taratibu kuchungulia nje, alipo ona hakuna mtu akarudi akanibusu mdomoni kisha akachungulia tena na kuondoka kwa mwendo wa haraka.
Niakarudi kitandani na kunyanyua godoro langu, nikaichukua bastola yangu. Nikaichomea kwa nyuma kiunoni. Nikatoa waleti na simu kwenye suruali niliyo ivua na kuviingiza kwenye mfuko wangu wa suruali niluyo ivaa.
Nikafunga chumba changu na kutoka nje, kwa bahati nzuri nikapata dereva wa pikipiki. Moja kwa moja nikaeleka ofisini huku kwa mara kadhaa nikumuimiza dereva huyo kuongeza mwenda wa pikipiki ili tuwahi kufika.
Hadi ninafika ofisini ikawa imesha timu saa mbili na dakika kumi, na muda wa wafanyakazi wa mwisho kuwasili ofisini ni saa moja na nusu asubuhi. Nikashuka kwenye pikipiki na kumlipa dereva, nikakimbilia ndani ya jengo letu la ofisi. Nikasimama sehemu ya lifti inayo onyesha inashuka chini ikitokea kwenye gorofa za juu.
“Mambo Dany”
Sauti ya binti mmoja ambaye ni mgeni katika ofisi yetu alinisalimia huku akisimama pembeni yangu, sote tukisubiria lifti hiyo kufika chini tulipo.
“Safi Suzy za kwako” “Poa, naona leo umechelewa” “Ahaa si unajua mwanzo wa wiki jinsi ulivyo mgumu” “Kweli, ila umekosa kikao cha asubuhi, mkuu amekoroma sana kwa wachelewaji” “Ameitisha mkuu nani?” “K2” Kusikia hivyo nikashusha pumzi, kwa maana nilidhani ni Mzee Ndimbo, ambaye siku zote hapendi masihara kwa wazembe.
“Tena ametoa ujumbe ukifika ofisini kwa yoyote atakaye kuona ukamuone ofisini kwake” “Mmmmm, kazi kweli kweli” Lifti ikafunguka, wakatoka wafanyakazi wawili ninao fanya nao kazi ofisi moja. Tukasalimiana kisha nikaingia kwenye lifti iliyo tupeleka hadi gorofa ya kupi kwenye ofisi zetu. Kama alivyo nieleza Zuzy moja kwa moja nikaelekea ofisini kwa bosi wetu K2.
“Mkuu yupo?” Nilimuuliza secretary wa K2, aliye nikodolea macho baada ya kunitazam.
“Nini mbona umenikodolea mimacho” “Bosi yaani ana hasira na wewe, hivi umeitazama simu yako. Amekupigia mara kibao” Hapo ndio nikaitoa simu yangu mfukoni, nikakuta missed call ishirini za K2, na kwa bahati mbaya simu yangu sijui ilijiminya vipi ikawa katika mfumo wa silence, kwa maana hiyo simu zote alizo piga hakuna hata moja niliyo weza kuisikia. Japo nimeanzisha mahusiano ya kimapenzi na K2, ila bado woga wa mfanyakazi na bosi wake upo bado moyoni mwangu.
Kijasho nikahisi kikinitiririka usoni, huku tumbo la haja kubwa likianza kunikoroma. Hata kabla sijafanya chochote, mlango wa ofisi ya K2 ukafunguliwa. Akanitazama kwa sura ya ukali hadi mimi mwenyewe nikaogopa.
“Njoo ofisini kwangu” Alizungumza na kurudi ofisini kwake, nikatazamana na secretary wake aliye nionyeshea sura ya huzuni kwani sote tunamfahamu mwanamama huyu, akikasirika huwa hana masiraha kabisa, na anaweza hata akakuchapa vibao mbele za watu bila kujali umri wako au heshima yako mbele za wafanyakazi wengine.
Nikairudisha simu yangu mfukoni, nikapiga hatua hadi mlangoni mwa ofisi yake, nikashika kitasa na kukisukuma taratibu.
Kitendo cha kuingia tu, nikamkuta K2 amesimama akinisubiria, kofi zito likatua shavuni mwangu nahisi hadi sekretari wake aliweza kusikia kwa maana mlango bado haukuwa umefunga vizuri.
“Hii ofisi ni ya baba yako?”
K2 aliniuliza kwa sauti ya ukali hadi nikahisi mwili mzima ukizizima kwa woga. Sikujibu kitu na sura yangu nikawa nimeiinamisha chini, nikiyasikilizia maumivu makali ya kibao hicho. Kwa kidole kimoja akaninyanyua uso wangu na kunitazama huku sura yake ikiwa bado imejikunja.
“Unahisi kunila kwako ndio kunaweza kukufanya ukawa mzembe kazini?” “Hapana mkuu” Nilijibu huku machozi yakinilenga lenga.



“Hata nikikupa Tamu yangu au Tigo yangu, bado huwezi kukiuka sheria na misingi ya kazi. Unakuja saa mbili, nakupigia simu hupokei unajihisi wewe ni kidume si ndio?” k2 aliziku kufoka, na kunifanya nianze kujiapiza kimoyo moyo kwamba kwamwe sinto rudia kufanya naye mapenzi, kwa manaa ubabe anao ufanya kwa wafanyakazi wengine nilisi kwangu utapungua, kumbe ndio umeongezeka mara mbili zaidi ya hapo mwanzo.
“Potea mbele ya macho yangu na ukawaulize wezako ni kitu gani ambacho nimeagiza wao kukifanya. Pumbavu wewe” Nikapiga saluti na kugeuka, nikafika mlangoni na kukishika kitasa cha mlango huku dukuduku la kuhitaji kuzungumza kitu likiwa linanisumbua moyoni mwangu.
‘Potelea pote’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikigeuka na kumtazama K2 aliye nigeuzi mgongo wake akieleka kukaa kwenye kiti chake.
“Sikiliza, kuanzi leo. Nijue kama mfanyakazi wako na si mwanaume utakaye iona Mashine yangu ikiingia kwenye K yako. Jana ndio ilikuwa mwanzo na ndio itakuwa mwisho” K2 akageuka na kustuka kusikia maneno hayo niliyo yazungumza, nikafungua mlango na kutoka kwa hasira, iliyo yafanya machozi yangu kutiririka hadi secretary akanishangaa.


Nikajifuta machozi nikiwa kwenye kordo ya kuelekea kweye ofisi yatu. Nikaingia ndani ya ofisi wala sikumsalimi mfanyakazi yoyote jambo ambalo si kawaida kwa maana watu wamenizoea kwa ucheshi wangu kwa kila mmoja.
“K2 kasha fanya yake”
Rafiki yangu mmoja alizungumza huku akinitizama hadi nina kaa kwenye kiti changu. Kwa jinsi ninavyo jijua nikiwa na hasira macho yangu yanavyo kuwa nikaamini kila mmoja anauona wekundu wa macho yangu. Nikafumba macho huku nikiziba masikio, nikijaribu kushusha pumzi taratibu, ikiwa ni njia moja kupunguza hasira.
“Mambo vipi jamani”
Nilizungumza huku nikitabasamu na kuwafanya watu wote kuangua kicheko. Kila mmoja akaitikia alipo maliza kucheka.
“Munacheka nini sasa?”
“Ahaaa najua K2 kasha fanya yake”
“Ahaaa hakuna kitu kama hicho”
“Kwenda huko. Dany sikuwahi kukuona ukiwa na hasira ila leo nimekuona”
“Nilikuwa naigiza”
“Hahaaaaa, bongo movie umeileta humu ndani?”
“Si unajua siku moja moja kucheka inabidi nipaweke pembeni. Ehee niambie huyo bi mkora katoa kazi gani?”
“Kaka umepewa kazi ya kwenda kukusanya habari shirika la nyumba”
“Kuna nini tena”
Jumbe akaniletea faili na kuniwekea mezani. Nikalifungua na kuanza kupitia ukurasa mmoja hadi mwengine. Kazi iliyo kubwa ni kwenda kufwatilia mapato ya ujenzi wa nyumba zinazo jengwa Kigamboni, na inaonyesha kuna ubadhilifu wa pesa umefanyika. Nikalifunga faili hilo na kuliingiza kwenye droo yangu.
“Jamani baadaye”
“Poa poa Dany”
“Nyinyi hamtoke leo?”
“Ahaa sisi kila mtu ana kazi yake”
“Ahaaa poa poa”
Nikaelekea kwenye lifti, nikaingia na kushuka moja. Nikatoka nje ya jengo, nikatembea hadi barabarani, nikakodi bajaji iliyo nipelekea hadi katika ofisi za shirika la nyumba. Moja kwa moja nikaelekea sehemu ya mapokezi na kumkuta dada mmoja mweupe aliye valia sare nadhifu sana.
“Habari yako dada?”
“Safi, nikusaidie nini?”
“Ahaa naweza kuonana mkurugenzi?”
“Hapana mkurugenzi hayupo”
“Meneja?”
“Yupo kwenye kikao cha bodi”
“Muhasibu je?”
“Naye pia yupo kwenye kikao cha bodi”
“Na kinaisha saa ngapi?”
“Kusema kweli sijafahamu kinaisha saa ngapi kwa manaa wameingia muda si mrefu”
“Basi ngoja niwasubirie hapa”
“Sawa”
Nikakaa kwenye viti vilivyo eneo hilo la mapokezi. Nikaitoa simu yangu mfukoni na kukuta meseji ya K2. Nikaifungua na kukuta ikiwa imeandikwa ujumbe wa kuniomba msamaha kwa kilicho tokea ofisini. Nikajikuta nikiachia msunyo hadi sekretari akanitazama na kutabasamu.
Nikairudisha simu yangu mfukoni nikachukua gazeti lililopo pembeni na kuaza kulisoma, huku nikivuta vuta muda kuwasubiria viongozi hao ambao ninahitaji kuzungumza nao. Hadi inafika saa saba kamili hapakuwa na dalili yoyote ya viongozi hao kumaliza kikao chao.
“Kaka samani ninatoka, ninakwenda lunch”
“Hao viongozi bado wapo kwenye kikao”
“Ndio naona kikao leo kimekuwa kirefu sana”
“Sawa”
Secretary huyo akaondoka, nikabaki nikiwa nina tazama wafanyakazi wanao toka na wengine kuingia. Wazo la kwenda kupata chakula likanijia. Nikatoka nje ya ofisi hizo, nikatembea sehemu hadi kwenye mgahawa uliopo karibu sana na ofisi hizo. Nikakuta wafanyakazi wengi wa shirika hilo wakiwa wamejazana. Nikatazama tazama kila sehemu na kumuona yule secretary akiwa amekaa peke yake kwenye moja ya meza. Nikaenda hadi alipo kaa na kukaa kwenye kiti hicho.
“Umekuja na wewe?”
“Yaa naona njaa kidogo imeniamsha”
“Karibu mimi ndio nipo katikati”
Muhudumu akanifwata kwa ajili ya kunihudumia.
“Muna pronse?”
“Ndio, unahitaji wakavu au walio pikwa rosti?”
“Niletee wakavu pamoja na chipsi kavu”
“Sawa kaka”
“Na niletee juisi ya ukwaju”
Muhudumu akaondoka. Nikamtazama dada huyo jinsi anavyo kula chipsi yai aliyo iagiza, huku pembeni kukiwa na kuku aliye kaangwa vizuri.
“Hivi mgahawa huu chakula wanacho kipika ni kizuri?”
“Sanaa, yaani wafanyakazi karibi wote wa ofisi za hapa karibu tunakimbilia hapa wakati wa kula”
“Wee!!”
“Yaa, wewe ni mgeni kwani?”
“Yaa ni mgeni wa eneo hili”
“Wewe ofisi zako zipo wapi?”
“Ahaa zipo kariakoo”
“Ahaa unafanya kazi gani?”
“Nimfanya biashara wa duka tu. Sema leo nilikuwa na miadi ya kuonana na hao viongozi watatu sema nao wapo kwenye kikao”
Muhudumu akaniletea chakula nilicho muagiza pamoja na juisi. Nikaanza kula huku nikijaribu kumchunguza dada huyo, niliye ona ananifaa kwenye kazi yangu iliyo nileta hapo.
“Unaitwa nani?”
“Mimi?”


“Ndio?”
“Mery”
“Ok mimi ninaitwa Dany”
“Una jina zuri, nina mtoto wa kaka yangu naye anaitwa Dany basi ni mkorofi huyo”
“Hahaa mbona mimi sio mkorofi”
“Mmm sifahamu kwa sababu sijakaa na wewe”
“Sijui ninaweza kuipata namba yako ya simu?”
“Kusema kweli huwa sitoagi namba ya simu kwa mtu ambaye simfahamu?”
“Kwa nini?”
Hata kabala Mery hajajibu, jamaa mmoja mrefu mweusi aliye valia tisheti ya shirika hilo la nyumba akasimama pemeni ya meza yetu na kutuangalia wote wawili hususani Mery.
“Huyu nani?”
“Ni…..ni ni”
Mery alijing’ata ng’ata huku akionyesha dahiri kumuogopa jamaa huyo aliye nikazia macho baada ya kunitazama. Jamaa akachukua glasi yangu ya juisi na kunimwagia kichwani na kuwafanya watu karibia wote walio kuwepo kwenye mgahawa huo kushangaa.
“Mose, una fanya nini sasa?”
Merya akashushwa na kofi zito lililo mfanya arudi kukaa, mara baada ya kunyanyuka kidogo. Nikajikita nikitabsamua huku nikijipangusa uso wangu ulio jaa juisi hiyo ya ukwaju.
“Hivi wewe mseng** unapenda sana kuvamia mademu za watu si ndio?”
Jamaa alizungumza huku akinitazama kwa macho ya hasira. Nikashusha pumzi huku nikijaribu kuizuia hasira yangu.
“Wewe fala si ninakusemesha?”
Jamaa ambaye nilisikia jina lake kwamba anaitwa Mose alinishika tai na kuninyanyua kwa nguvu kwenye kiti nilicho kalia. Watu waliopo karibu na meza yetu wakanyanyuka na kujaribu kumshika huyo jamaa anaye itwa Mose.
“Muheshiwa acha hayo si unajua watu wengi”
“Niacheni nimuonyeshe huyu mjinga anakazi ya kuparamia paramia wanawake wa watu. Hapa mjini”
Mose alizungumza huku akiendelea kunikwida. Sikuzungumza chochote zidi ya kumtazama Mose anacho taka kukifanya. Watu wakafanikiwa kumtoa jamaa huyo mwilni mwangu na kujikuta akiondoka na vifungo vyangu viwili vya shati.
“Na wewe twende”
Mose akamshika mkono Mery na kuondoka naye. Nikawatazama jinsi wanavyo toka kwenye mlango wa mgahawa huo. Nikachukua waleti yangu na kwenye sehemu ya malipo na kumuuliza muhudumu aliye nihudumia.
“Una nidai pesa ngapi?”
“Elfu ishirini na tatu”
“Yule dada niliye kuwa nimekaa naye pale amelipia?”
“Hapana”
“Na yeye munamdai bei gani?”
“Elfu kumi na tisa”
Nikatoa elfu arobaini na tano na kumkabidhi muhudumu huyo. Kila nilipo pita ndani ya mgahawa huo watu walinitazama huku wengine wakionekana kunionea huruma.
“Ila Mose muonevu, yeye kakuta watu wemekaa tu anawakoromea”
“Ila yule siku atakuja kupata kidume mwenzake atampiga hadi afurahi”
“Kinacho upa ujeuri ni huo uhasibu wake”
Wadada wawili walio kuwa wamekaa kwenye meza ya karibu na malngoni nilidaka mazungumzo yao na nikawa nimepata pointi kwamba kumbe mose kumbe ndio muhasibu ambaye ninatakiwa kumfanyia upepelezi. Nikafungua mlango na kutoka moja kwa moja nikarudi katika jengo lao. Nikamkuta Mery akiwa anamwagikwa na machozi huku pembeni akiwepo msichana mwengine akionekana kumfariji.
“Mbona unalia?”
Nilizungumza na kumfanya Mery kunyanyua kichwa chake alicho kuwa amekiinamisha. Akastuka kuniona eneo hilo na kuanza kufuta machozi yake.
“Kaka ni vyema ukaondoka kwa maana Mose akikukuta hapa unaweza kumsababishia matatizo mengine Mery”
“Kwani ofisi ya huyo Mose ipo wapi?”
Dada huyo akataka kunielekeza ila Mery akamuwahi na kumzuia kwa kumshusha mkono wake alio kuwa ameunyanyua kwa kutaka kunielekeza ofisi hiyo ilipo.
“Dany tafadhali nakuomba uo……”
Mery alinyamaza gafla huku macho yakitazama kwenye lifti, nikageuka na kumuona Mose akitoka kwenye lifti hizo, akanitazama kwa macho makali huku akinifwata nilipo simama.
“Wewe mwana haramu umekuja hadi huku si ndio”
Mose alizungumza na kutaka kuniparamia, ila safari hii sikuhitaji kuwa fala tena kwa maana, kitendo cha kunisogelea nimuwasha ngumi sita za kasi zilizo tua katika sura yake na kumfanya ayumbe na kuanguka chini.
Kila mtu aliye kuwa katika eneo hilo akashangaa. Mose akaanza kujizoa zoa na kunyanyuka, akasimama wima japo kwa kuyumba, akajaribu kurusha ngumi ila zote nilizikwepa, nikamtisha kidogo aniachia sura, nikavuta ngumi moja kali kabla haijafika karibu na shingo yake nikauzuia mkono.
“Usirudie tena”
Mose alicho kikosea ni kunitukania mama yangu, hapo sana nikaweka ustaarabu pembeni na kuanza kumtembezea kichapo, hadi walinzi wanao linda eneo hilo wakaja kunikamata. Nikiwa katika kizuizi cha walinzi hao nikashangaa kuona gari ya polisi ikija eneo hilo.
“Mtuhumiwa mwenyewe huyu hapa”
Alizungumza mzee mmoja aliye valia suti ya kaki. Askari hao wakanisogelea wakiwa na bunduki zao.
“Nyoosha mikono, una haki ya kukaa kimya hadi pale utakapo fika kituoni kwa mahojiano”
Sikuwa mbishi, wakanifunga pingu za mikononi na kunipakiza kwenye gari lao na kuondoka eneo hilo.
“Afande ninaomba nimpigie mwanasheria wangu aje kituoni?”
Nilizungumza tukiwa njiani. Askari huyo hakuweza kunijibu chochote zaidi ya kunikata jicho baya. Tukafika kituo cha polisi. Wakanifungua pingu, wakaniamuru kuvua mkanda, viatu, kutoa waleti mfukoni. Nikafanya hivyo kitu lilicho mstusha askari aliye kuwa akinipapasa ni bastola yangu niliyo kuwa nimeichomeka kiunoni.
“Jamani huyu ni jambazi”
Askari huyo aliuzungumza kwa sauti ya juu na kuwafanya askari wengine wote kituoni kunitazama mimi huku wengine walio na bunduki kuninyooshea mimi, huku wakiniamuru kunyoosha mikono juu kwa ukali sana.



Nikafwata kama wanavyo hitaji, nikainyoosha mikono yangu juu huku nikimtazama askari aliye nichomoa bastola yangu.
“Piga magoti wewe mjinga”
Askari mwengine alisisitiza kwa sauti ya ukali, taratibu nikapiga magoti. Askari huyo akachuka waleti yangu na kuifungua, akaanza kuikagua vitambulisho vyangu. Nikamuona akistuka baada ya kutoa kitambulisho changu cha kazi. Akanitazama mara mbili mbili huku macho yakimtoka na jasho likimwagika.
“Kuna nini kinacho endelea hapa”
Nilisikia sauti ya kike, nyuma yangu. Ikanibidi kugeuka na kumkuta mkuu wa polisi ambaye ninamtambua ni rafiki wakaribu sana na K2 na mara nyingi niliweza kumuona akija ofisini kwetu.
“Mkuu kuna huyu kijana alifanya fujo, ndio tumemleta hapa kituoni”
Mwanamama huyo mrefu kwenda juu, aliye valia suruali ya kaki pamoja na shati la kaki, lenye nyota kadhaa kwenye bega lake, akazunguka na kuja kusimama mbele yangu.
“Mumegundua nini?”
Alimuuliza askari aliye shika kitambulisho changu. Askari huyo akaonekana kupata kigugumizi na kujikuta mkuu wake akikichukua kitambulisho hicho na kukikoma. Akanitazama kwa haraka kisha akayarudisha macho yake kwenye kitambulisho hicho.
“Nani aliwapa oda ya kwenda kumkamata?”
Askari wote wakaka kimya. Kila mmoja alimtazama mwenzake, mwanamama huyo kwa ishara akaniomba ninyanyuke juu. Nikannyanyuka na kuwafanya askari wote kuduwaa.
“Mrudishieni kila kitu chake, unatoa toa macho ya nini?”
Askari aliye chukua waleti na bastola yangu, akanirudishia huku mwili mzima ukimtemeka. Sikulijali juu ya woga nikachukua kila kitu changu, nikavaa mkanda pamoja na viatu vyangu.
“Samahani kijana, naomba tukayazungumze ofisini kwangu”
Mwana mama huyo alizungumza huku akinitazama. Nilipo maliza kufunga kamba za viatu vyangu, nikaongozana naye hadi kwenye ofisi yake iliyopo gorofani. Akanikaribisha kwenye kiti kilichopo mbele ya meza yake kisha yeye akaka kwenye kiti kilichopo nyuma ya meza yake hiyo yenye mafaili mengi pamoja na meza ya mezani na simu ya upepo.
“Samahani kwa usumbufu wa vijana wangu, naona walikuchukua pasipo kujua kwamba wewe ni nani”
“Kwa hilo halina tabu, ni vyema nikaondoka na kwenda kuripoti kazini kwangu kwamba kazi yangu iliziwa na vijana wako”
“Hapana hapana, wachukulie ni vijana wezako wale. Endapo wataingia kwenye tabu wengine ndio kwanza hata pesa ya serikali hawajaitafuna”
“Kwa hiyo na mimi nikafukuzwe kazi kwa ajili ya vijana wako, unatambua kabisa kazi yangu ilivyo na uhatari wa hali ya juu, ila bado vijana wako wakaamu kuniharibia ndio nini sasa”
Nilizungumza kwa kumkoromea mama huyo baada ya kugundua amingiwa na hofu kidogo.
“Basi ngoja niweza kuzungumza na bosi wako, ili kukukingia kifua, si unajua tena sote sisi ni watumishi wa uma na kazi yetu ni moja”
Mama huyo alizungumza huku akichomoa simu yake aina ya Samsung Galaxy note 3. Akaminya minya baadhi ya namba ambazo sikuziona na kuiweka simu yake sikioni huku akinitazama usoni.
“Shosti vipi?”
“Safi vipi”
Kutokana na simu hiyo kuwa na sauti kubwa kidogo niliweza kuisikia sauti ya K2, nikatamani kumpokonya simu mama huyo ila nikajikuta nikishindwa na kubaki nikiwa nimemkazia macho.
“Safi tu, bwana nina ombi moja”
‘Ombi gani?’
“Kuna kijana wako hapa alikamatwa na vijana wangu akiwa kwenye kazi yake wakidai alifanya vurugu kwenye moja ya ofisi sasa nikaona nikujulishe mapema isije akaja huko ukawajibisha”
‘Anaitwa nani?’
“Anaitwa Daniel Thamson Kajenge”
‘Mmmmm’
“Mbona unaguna sasa?”
‘Hapana, upo naye hapo au amesha ondoka?’
“Nipo naye hapa ofisini kwangu”
‘Hembu mpatie simu’
Mama huyo akanipatia simu yake, taratibu nikaipokea na kuiweka sikioni mwangu.
“Hallo”
“Hivi Dany unachanganyikiwa siku hizi?”
K2 alizungumza kwa ukali na kunifanya nimtazama mama huyo kwa jicho la kuiba nikagundua anayafwatila mazungumzo yangu kwa umakini.
“Hapana mkuu”
“Ni kitu gani kilicho kupeleka huko kituani. Mbona uinafanya kazi zako kipuuzi kama sio professional aliye fuzu mafunzo eheee?”
“Hapana mkuu haito jitokeza tena”
“Au unahisi kukupa K yangu ndio kunakufanya uwe unakuwa mbovu kwenye kazi, mbona hapo nyuma ulkuwa unafanya kazi zako kwa umakini eheee?”
K2 alizidi kunifokea hadi mama huyo nikaamini anayasikia mazungumzo hayo. Nikaka kimya kwani sikujua cha kumjibu K2 ambaye tangu asubuhi alisha nivuruga.
“Sasa hiyo ripoti hadi inafika kesho saa moja asubuhi ninaihitaji ofisini kwangu. Sasa wewe kaa kaa na kuwaza K na mk..nd* wangu uone mwisho wake utakuwa ni nini. Utavuna upuuzi wako huo”
Simu ikakatwa, nikaishusha taratibu sikioni mwangu na kumkabidhi mwana mama huyo aliye baki akiwa amenikodolea macho.


“Hivi nilicho kisikia ni kweli au……?”
Mwana mama huyo alizungumza huku akiendelea kunikodolea macho yake. Sikuwa na kitu cha kumjibu zaidi ya kukaa kimya.
“Nakuomba niondoke tafadhali”
“Sawa unaweza kwenda”
Nikanyanyuka na kumuacha mwana mama huyo akinisindikiza kwa macho hadi natoka ofisini mwake. Nikashuka kwenye ngazi na kukutana na askari aliye kuwa akisoma kitambulisho changu cha kazi. Sikumsemesha kitu zaidi ya kumpita. Nikapita mapokezi kila askari akabaki akiwa amenikodolea macho. Moja kwa moja nikatoka kituoni. Kusema kweli akili yangu haikuwaza chohote zaidi ya kurudi nyumbani kwangu.
“Bosi nikupeleke wapi?”
Dereva mmoja wa pikipiki alisimama pembeni yangu huku akinitazama. Taratibu nikajikuta nikipanda pikipiki hiyo.
“Nipeleke Sinza kwa Remy”
“Sawa mkuu”


Dereva huyo mwenye pikipiki aina ya boksa akaanza safari. Hadi tunafika maeneo ya Sinza ndipo nikaanza kumuelekeza hadi mtaa ninao kaa. Nikamlipa kiasi alicho nitajia na kuingia ndani. Nikamkuta Mariam akiwa amekaa kwenye kibaraza anasikiliza miziki kwenye simu yake. Nikampita bila samu, na kwa jinsi shati lango lilivyo katika vifungo nahisi aliweza kujiuliza maswali.
Niakatiza kwenye kordo na kukutana na Asma akiwa anatoka kuoga, huku amejifunga tenga moja tu.
“Dany mambo?”
Asma alinisalimia huku akiwa na tabasamu pana usoni mkwa.
“Poa za kushinda?”
“Salama”
Sikutaka kukenua kenua meno, nikafika mlangoni mwangu. Nikafungua mlango na kuingia, nikaanza kuvua nguo moja baada ya nyingine hadi nikabakiwa na boksa. Nikawasha feni na kujitupa kitandani, kilia nikiwaza jinsi ya kuifanya kazi niliyo pewa na ofisi nikajiona nimevuruga mpangilio mzima.
“Ohooo Mungu wangu nisaidie”
Nilizungumza huku nikiwa nimetizama juu. Sikuwa na jibu la uhakika wa nini nifanye. Mazingira ya chumba changu nilivyo yaacha asubuhi kwa muda huu hayaniridhishi kabisa. Nikaanza kuifanya usafi wa kubadilisha mashuka na kuweka shuka jengine, nilipo maliza hapo nikahamia kwenye kufagi na kufuta futa vumbi kwenye meza ya Tv pamoja na redio yangu. Sikuishia hapo nikavaa pensi na tisheti nikatoka nje nikiwa na ndoo ndogo nikinga maji nusu na kurudi nayo chumbani kwangu na kuanza kudeki kila sehemu.
Nikamaliza kufanya usafi wangu huo, nikachukua nguo zangu zote chafu na kutoka nazo nje, nikiwa nimeziweka kwenye dishi langu. Nikaanza kufua, nikiwa ninaendelea kufua Asma akatoka akiwa amevalia suruali iliyo mbana makalio yake makubwa.
“Nakuona leo umeamua kuwa dobi”
“Yaa kidogo dogo si unajua maisha ya ubachela”
“Kweli ila unabidi ufanya uoe Dany, kazi ndogo ndogo kama hizo za kufua zitakuondokea”
“Ni kweli ila bado nipo nipo kwanza si unajua wanawake wa sanana ni pasua vichwa na wengine hatupendi mambo hayo ya kuumizwa kichwa”
Asma akachukua kidoga kilichopo eno hilo la uwani ambapo kuna jiko la wamama kupikia. Akakaa pembeni ya tanki kubwa la maji lililopo hapa nyumani kwetu.
“Ni kweli, lakini kwa sasa hata wanaume munapasua vichwa. Wanake wanawapenda ila hampendeki sijui kwa nini?”
“Sio wote. Hivi jana ilikuwaje kwa jamaa kwa maana ninaona alitaka kukua?”
“Yaani Dany kaka yangu mimi nimesha jichokea. Mwanaume hapendeki, mwanaume ana wivu nashindwa hata nimfananishe na kitu gani. Yaani unavyo niona hapa hata kwenda kwa majirani hataki. Kila kitu amenunua na kuweka ndani, ni mimi na Tv na Tv na mimi, nikichoke ni kulala tu”
“Kwa nini auakuwa hivyo, hakuamini au?”
“Kigezo chake kwamba mimi ni mzuri kwa hiyo nikitoka nje watu wataniiba”
“Hahaaa sasa jana ilikuwaje hadi akakupiga?”
“Jana unajua kisa cha kupigwa ni kwamba. Tulikuwa tunaangalia myereka ya kina Jonh Cena, sasa mimi nikasema John Cena ni mzuri ana kifua kikubwa, basi hapo ndipo ugomvi ukaanza. Akaanza kuseme ohooo sijui umalaya umezidi hadi ninawasifia wanaume kwenye Tv ohooo kimepanda kimeshuka. Sasa nikawa ninamjibu mwenzangu kama ninamtania kumbe akachukulia serious, ndio akaanza kunipiga na kutaka kunichoma na kisu”
Mazungumza ya Asma yakanifanya nicheke na kujikuta hata mawazo ya kazini kwangu yakikaa pembeni kwa maana kwatika maisha yangu sikuwahi kuona wivu wa namna hiyo.
“Yupo wapi sasa mume wako?”
“Kasafiri kaenda Arusha, kapeleka mzigo wa mafuta”
“Mzigo wa mafuta?”
“Ndio mume wangu ni dereva wa magari makubwa yale ya mafuta, siku nyingine hupeleka mafuta Rwanda, Burudi, Congo”
“Ahaaa, sasa jana ulivyo rudi chumbani hakukoroma?”
“Wee ana ubavu, akikoroma tu namwambia ninakuja kukugongea basi anakaa kimya”
Nikamaliza kusuuza nguo zangu, Asma akaniomba kunisaidia kwenda kuzianika. Sikuwa na hiyana nikamuachia kindoo nilicho jaza nguo hizo na mimi nikamalizia kuyafua mashuka yangu.
“Asante mwaya”
“Usijali kaka yangu, sasa ngoja mimi niandae chakula cha usiku”
“Nihesabu basi”
“Usijali, ila unakula ndizi nyama wewe”
“Ahaa hapo mbona umenifikisha”
“Basi ngoja niandae chap chap, si unajua muda umesonga”
“Poa”
Asma akaondoka na kuniacha nikiwa ninasuuza mashuka yangu. Nikamaliza shuhuli hiyo na kuzunguka nyuma ya nyumba kwneye kamba za kuanikia nguo, nikaanika mashuka yangu na kurudi sehemu nilipo kuwa ninafulia. Nikamwaga maji ya mapovu chooni na kuanza kuyasuuza mabeseni hayo.
“Nani amemwaga maji ya mapovu chooni?”
Mariam alizungumza huku akinitazama usoni, tambambua analifahamu jibu lake, ila anatafuta mbinu za kuzungumza na mimi. Sikujibu chochote zaidi ya kubeba mabeseni yangu yote na kurudi nayo chumbani kwangu. Nikayaweka chini ya uvungu na kujitupa kwenye sofa.
“K2 mamae ipo siku nitakuonyesha kwamba mimi mtoto wa mbwa”
Nilijikuta nikizungumza mazungumzo hayo huku nikikagua namba zilizo piga kwenye simu yangu kipindi nikiwa nipo nje ninafua, na namba ya K2 ni moja wapo.
‘Huyu ataniletea chakula kweli, au ana nizingua?’
Nilijiuliza swali hilo huku nikiwasha Tv kufwatilia taarifa ya habari ya saa mbili usiku inayo rushwa na kituo cha ITV.
Hadi taarifa ya habari inamalizika saa tatu kasoro Asma hakuleta chakula chochote. Nikataka kunyanyuka kwenye sofa ili nijiandae kwenda kununua chakula ila, mlango wangu ukagongwa.
“Nani?”
“Mimi”
Nikasikia sauti ya Asma, kwa haraka nikanyuka na kwenda kufungua mlango. Nikamkuta akiwa amesimama huku mkononi mwake ameshika ‘hotpot’ kubwa pamoja na sahani isiyo na chakula.
“Karibu ndani, si vyema kupeana chakula mlangoni”
Asma akatabasamu na kuingia ndani. Moja kwa moja akaelekea mezani na kuweka ‘hotpot’ hilo mezani pamoja na sahani hiyo.
“Chumba chako umekipangilia vizuri, unaweza kusema unaishi na mwanamke”
“Unajua usafi mimi nilifundishwa tangu kipindi nipo sekondari ya bodi, kwa hiyo nimekulia kwenye mazingira ya usafi safi hadi hapa nilipo”
“Kweli Dany, kuna waaume ukiingia vyumba vyao utatamani kukimbia kwa manaa vimepangiliwa vibaya kama stoo”
Asma alizungumza huku akipakua chakula hicho, kinacho nukia vizuri hadi nikajikuta utumbo wangu ukitetemeka kwa njaa na hamu ya kula chakula hicho.
“Oooho nimesahau kijiko”
“Usijali kijiko ninavyo”
“Umeviweka wapi?”
Nikamuenyesha kiji trei cha kuwekea vyombo, akachukua kijiko kimoja na kuja kukiweka kwenye sahani ya chakula. Kabla hatujazungumza chochote sote wawili tukaisikia sauti ya Jumaa huko nje.
“Mariam umemuona wapo Asma?”
Nikamuona Asma akihisi kuishiwa nguvu, kutoka chumbani kwangu akwa anatamani kutoka ila anashindwa atatoka vipi kwa maana chumba change ndio cha kwanza kabisa kwa upande wa uwani isitoshe endpo atatoka na kukutana na mume wake basi inaweza kuzuka kesi nyingine ya kufikiriana vibaya



“Jamani Dany nitafanyaje, huyo ni mume wangu?”
Asma alizungumza kwa sauti ya chini huku mwili mzima ukimtetemeka kwa woga, hata shuhuli ya kuniandalia ikakata. Kwa haraka haraka nikafikiria kitu cha kufanya. Nikatoka nje na kukuta Jumaa akiwa amesimama uwani, akanitazama kwa jicho kali linalo onyesha dhairi kwamba bado ana kinyongo na mimi. Mariamakanitazama kwa macho ya kuiba na kukaa kimya hata swali alilo ulizwa na Jumaa hakulijibu.
“Mariam mbona unanichunia, si nimekuuliza swali?”
“Mimi sijui ni wapi alipo mke wako”
Kabla Jumaa hajazungumza chochote, nje tukasikia kelele za watu. Kwa haraka Mariam akanyanyuka na kukimbilia nje, Jumaa naye akafwata wote wawili wakatoka nje. Nikarudi chumbani kwangu na kumkuta Asma akiwa amesimama, huku akiwa hana raha kabisa. Nikafungua pazia na kuchungulia kwenye kordo sikumuona mtu wa aina yoyote aliye simama.
“Njoo njoo”
Asma akanyata hadi sehemu alipo mimi, nikatazama tena hakuna mtu na mlango wa mbele ukawa umefungwa na si rahisi kwa mtu kumuona akitoka. Kwa haraka Mariam akatoka na kukimbilia uwani na moja kwa moja nikamshuhudia akikimbilia bafuni. Kidogo na mimi nikashusha pumzi na kupata amani kwa maana ninaamini kitu ambacho kingekwenda kudhaniwa na kila mtu ni kwamba mimi na Asma tuna mahusiano ya kimapenzi wakati si kitu sahhihi.
Kelele zilizidi kusikika nje na kujikuta na mimi nikitoka kwneda kuhushudia ni kitu gani kinacho endelea. Nikiwa nimefika mlango wa kutokea nje, kabla sijaufungua akaingia mama mwneye nyumba.
“Mama vipi huko kuna nini?”
“Nyuma yam zee Jongo inawaka moto”
Mama Mariam alizungumza kwa haraka haraka huku jasho likimwakia, akaingia chumbani kwake na kunifanya na mimi kutoka kwa haraka na kwenda kushuhudia. Nikatoka getina na kupishana na watu wengi wakikimbilia ilipo nyumba ya mzee Jongo. Na mimi nikaungana nao na kwenda hadi sehemu ilipo nyumba hiyo.
Nikafika na kukuta nyumba hiyo ya kifahari ikiteketea kwa moto. Mwingi huku vijana na wamama wakijitahidi kuuzima moto huo na kuokoa baadhi ya vitu vya garama vilivyomo kwenye nyumba hiyo.
“Jamani mwanangu”
Mzee Jongo alilalama huku machozi yakimwagika, watu cha kushangaza walibaki wakimkodolea macho. Kwa haraka nikamsogelea na kumuuliza mwanye huyo yupo wapi.
“Ndani baba yangu, gorofani kule”
Mzee Jongo alinijibu huku akinitazama usoni mwangu. Nikatazama moto huo unao endele kuteketea. Kwa haraka nikafanikiwa kuona sehemu ambayo ninaweza kuingilia na haina moto mwingi. Nikaanza kukimbia kuelekea ndani. Nikafika kwenye mlango wa uwani ambao wanautumia kama dharura, nikasukuma kwa kujirusha na kuanguka nao hadi chini. Moshi mwingi nilio kutana nao hakunizuia kuweza kuingia huku nikiwa nimebana pumzi zangu kwa umaridadi mkubwa kabisa ili nisiweza kuvuta moshi huo. Nikapandisha gadi gorofani, nikasikia sauti ya msichana ikilia kwenye moja ya chumba ambacho mlango wake umefungwa.
Nikajivuta nyuma kwa haraka na kuupiga teke mlango huo ulio funguka na kunipa nafasi ya mimi kuweza kuingia ndani. Nikamkuta binti mrefu akiwa ameanguka chini, hii ni baada ya mimi kuusukuma mlango wake. Kitanda chake kilisha anza kushika moto kitu ambacho kimemuokoa na kumuweka hai hadi sasa hivi ni ukubwa wa chumba chake na uchache wa vitu vya ndani.
“Panda mgongoni mwangu haraka”
Nilimuambia binti huyo ambaye mara nyingi niliweza kumuona akitoka kwenye nyumba hiyo ya kifahari siku za nyuma akitumia gari lake aina ya Harrier Lexux na ni msichana mwenye nyodo sana na asiye penda hata kusalimiwa na vijana wa hapa mtaani kwetu.
Akapanda mgongoni mwangu. Nilipo hakikisha amekaa vizuri, nikavuta pumzi nyingi itakayo nisaidia kutoka na kuupita moshi huo mwingi.
“Moja, mbili, tatuuuu”
Nikatoka kwa haraka na kuanza kushusha ngazi hizo zilizo tengenezwa kwa saruji. Moshi mwingi na mkali na uzito wa msichana huyualiye nishikila vizuri, vilichangia sana kuanza kunifanya nianza kuhisi kuishiwa na nguvu. Nikaanza kupita katika njia ambayo nilipita hapo awali, kwa bahati mbaya nikakuta apande wa mbao unao waka moto ukiwa umeziba mlango wa dharura hata mlango weyewe nilio kuwa nimeusikuma umeanza kushika moto.
“Shuka mgongoni upite”
“Eheee……?”
Binti huyo aliniuliza huku akizidi kuning’ang’ania kwa nguvu akionyesha ni dhairi kwamba anaogopa kabisa kushuaka. Ikanibidi kumshusha kwa nguvu kisha nikauchukua mlango ambao unawake moto, sikujali kama ninaungua au laa. Kwa kuutumia mlango huo nikaanza kusukuma mbao iliyo zuia hapo mlangoni.
Binti huyo badala ya kunisaidia alianza kulia huku akipiga mayowe, nikatamani hata kumziba makofi ila nikaona nikitumia hasira sote tutateketea kwa moto ndani hapo. Cha kumsukuru Mungu mbao hiyo ikakatika na kutupa uwazi wa kuweza kupita.
“Pita wewe”


Nilizungumza kwa ukali, binti huyo akaanza kuweweseka. Nikamtandika kofi moja la shavu kumtoa mawenge yake ambayo ninahisi yanataka kutupelekea kifo.
“Eheee”
“Ms..ng* nini, nimekuambia pita unashangaa nini?”
Binti huyo akapita kwa haraka na kufanikiwa kutoka nje, nikapita na mimi ila kabla sijafanikiwa kupita kuna kipande cha bao kinacho waka moto kikaniangukia mgongoni na kushika kwenye tisheti yangu, nikahitahidi na kutoka nje na kuanza kuminyana na tisheti yangu ambayo imenibana mwili wangu, kuivua. Kwa bahati nzuri nikafanikiwa kuivua, japo kuna baadhi ya maeneo ya mgongoni nilipata majeraha ya kuungua pamoja na mikononi.
“Umeungua”
Aliniambia binti huyo niliye muokoa kutoka ndani, Mzee Jongo akatufwata hadi sehemu tulipo simama na binti yake. Wakakumbatiana na mwanaye kwa furaha. Nikataka kuondoka ila mzee Jongo anakizuia.
“Nakushukuru sana kijana”
“Asante”
“Unaitwa nani kijana?”
“Dany”
“Asante sana”
“Dany umeungua mgongoni?”
Binti huyo alizungumza na kumfanya baba yake kunitazama mngongoni.
“Mungu wangu, unatakiwa kwenda hospitalini”
“Hakuna haja mzee wangu”
“Noo umeungua sana, sema hujioni”
Mzww Jongo alizungumza kwa msisitizo.
“Lucy si unaweza kuendesha gari vizuri?”
“Ndio dady”
“Mpeleke mwezako, hospitalini akapatiwe matibabu”
“Sawa dady”
Lucy akaelekea kwenye maegesho ya magari yao ambayo yapo mbali kidogo na nyumba yao kubwa inayo zidi kuteketea kwa moto. Lucy akapiga honi na kuniashiria nimfwate kwenye gari lake. Nikaeleke hadi sehemu alipo, kwa ishara akaniomba kuingia ndani ya gari, tukatoka kwenye geti la upande wa pili wanyumba hiyo ambalo ametufungulia mlinzi wao. Safari ya kuelekea hospitali ikaanza, ndani ya gari sote tulikaa kimya, ikanibidi kuuvunja ukimya wetu.
“Chanzo cha moto ni nini?”
“Kusema kweli sifahamu kwa maana mimi mwenyewe nilikuwa nimesha anza kulala”
“Ahaa sawa”
Kutokana damu imesha anza kutulia, hapo sasa ndipo nilipo anza kuyasikia maumivu ya majeraha ya moto niliyo yapata mgongoni na mikoni. Tukafika hospitalini, kwa haraka tukaelekea mapokezi huku nikiwa kifuwa wazi, sikuona aibu ya kutembea hivyo ila nilicho kifikiria kwa muda huo ni jinsi gani majeraha hayo yanavyo weza kutulia kwa maana yananiuma kupita maelezo. Lucy akawaelezea manesi tatizo langu, kwa haraka nikaingizwa kwenye chumba cha matibabu, nikachomwa sindano kwenye mkono wangu wa kushoto.
“Hii ni sindano ya nini?”
“Kutuliza maumivu”
“Sawa”
Nesi anaye nihudumia akaanza kunipaka dawa ya maji maji, aliyo nieleza ni ya kusafisha kidonda na kuua backteria ambao wameingia kwneye majeraha yangu. Alipo maliza akanipaka dawa nyingine kisha mikononi akanifunga bandeji.
“Itabidi leo upumzike hapa, kesho tunaweza kukuruhusu”
“Sawa. Ninaomba uniitie huyo msichana niliye kuja naye hapo nje”
“Sawa”
Nesi huyo akakusanya vitendea kazi vyake kisha akatoka, akaingia Lucy huku akinitazama usoni.
“Vipi wamekuhudumia vizuri?”
“Ndio”
“Ohmm masikini pole mwaya”
“Asante”
“Sasa wamekuambiaje?”
“Wameniambia leo nipumzike hapa kesho ndio wanaweza kuniruhusu”
“Daaa, sawa basi nitalipia kila kitu, kisha nitakwenda nyumbani kuangalia ni kitu gani kinacho endelea na asubuhi na mapema nitakuwa hapa”
“Sawa”
Lucy akanitazama kwa sekunde kadhaa kisha akatoka ndani humo. Baada ya dakika kama sita hivi nesi mwengine akaja na kunimba nimfwate, tuakaelekea kwenye moja ya chumba chenye kitanda cha peke yake, huku kikiwa na Tv, sofa pamoja na choo cha ndani kwa ndani.
“Utalala humu kaka, ukiwa na tatizo lolote basi utawasiliana na mimi, simu ipo hapo mezani”
“Sawa dada yangu”
Nikaingia bafuni na kukuta kioo, hapo ndipo nikageuka na kujitazama mgongoni. Nikatamani kuzimia, kwa maana kidonda ni kikubwa sana karibia nusu ya mgongo mzima.
“Haya ndio matatizo ya kujifanya shujaa”
Nilizungumza huku nikiendelea kujitazama, jinsi gozi ilivyo babuka. Nikarudi chumbani nikawasha tv, hapakuwa na jipya.
‘Kesho kazini itakuwaje?’
Ni swali jengine nililo jiuliza huku nikilala kifudi fudi juu ya kitanda hicho. Kuchoka ukijumlisha na mawazo mengi yanayo kisumbua kichwa changu nikajikuta nikiwa nimelala fofofo.
***
“Unaendeleaje?”
Nilisikia sauti ya Lucy iliyo nifanya kufumbua macho yangu. Nikamkuta Lucy na mzee Jongo wakiwa wamesimama pembeni ya kitanda nilicho lala.
“Kijana vipi?”
“Safi mzee shikamoo”
“Marahaba, unajisikiaje na hali”
“Ahaa maumivu kwa mbali tu”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani. Nikakaa kitako hukuna kuwatazama. Leo ndipo nikapata nafasi ya kumtazama Lucy vizuri. Kusema kweli ni msichana ambaye amebarikiwa asilimi tisini na tisa ya uzuri. Kila sehemu ya mwili wake imeumbwa na kuumbika, ninaamini mwenyezi Mungu alitumia muda weke mwingi sana wa kuumba Lucy. Urefu wake wa futi sita na pointi kadhaa kwenda juu, uliweza kuendana kabisa na muenekano wa sura yake iliyo kaa kama Mrwanda.
Kifua chake kimebeba maziwa madogo wastani, huku tumbo lake kikiwa limepigwa pasi. Sasa maeneo ya kiunoni sasa hapo ndipo kwenye kila aina ya maufundi ya mola. Kuna msemo unao sema ukisikia kwamba kunawanawake wameumbwa ni kweli wameumbika, basi Lucy naye yupo kwa wale ambao ni kweli wameumbika.
Kiuno chembamba wastani, kimeshikilia hispi zilizo jichora kama namba nane, makalio makubwa kiasi yanayo shikiliwa na hipsi hizo zilizo shikiliwa na miguu iliyo jaziwa. Unywele mrefu ambao ni waasili wa Lucy unao fika mgongoni ndio unao zidi kumpa vigezo vingi vya uzuri.
“Dany mbona unamshangaa sana binti yangu?”
Sauti ya mzee Jongo ilinistua na kujikuta nikimtazama usoni mzee huyo.
“Ahaa hapana nafikiria ile ajali ya jana ya moto. Vipi mzee mumepata kutambua chanzo ni nini?”
“Ndio, ni mtungi wa gesi, msichana wa kazi aliweza kusahau kuufunga sasa sijui ikawaje ukalipuka na kusababisha moto”
“Pole sana mzee”
“Ahaa nimesha poa. Lucy kamuite nesi waje kumshuhulikia kijana kama kuna chochote cha kufanya waje kumfanyia”
“Sawa baba”
Kitendo cha Lucy kutoka, kwa kona ya jicho langu la kushoto ndipo nikapata nafasi ya kuona wezere la Lucy jinsi linavyo tingishika kwenye suruali yake aliyo ivaa. Kitendo cha macho yangu kumtazama mzee Jongo macho yetu yakakutana na kumfanya mzee huyo kutabasamu naamini alinistukia kwa kile nilicho kifanya.
“Kijana hivi unafanya kazi gani?”
“Ahaa mimi, mimi nipo ofisi moja hivi ya serikali”
“Ofisi gani kwa maana mimi nipo ofisi ya raisi”
Kusikia hivyo nikastuka kidogo ila nikajikaza kwa maana hawa ndio watu wakubwa wa nchi hii.
“Mimi nipo ofisi ya usalama wa taifa”
“Ohoo, safi sana. Ndio maana jana usiku nikawa ninakufikiria kijana jasiri kama wewe kwa mtaa ule wetu sijaona, kumbe upo huko?”
“Ndio”
“Basi inabidi nifanye kitu kwa ajili yako kwa maana nisiwe mnafki, pasipo wewe leo hii mimi nisinge kuwa na firaha hii”
“Kwa nini mzee”
“Huyu ndio binti yangu wa pekee, tangu mama yake afariki akiwa binti mdogo basi upando wangu nikaumalizia kwa mke wangu, na endapo kama jana angefariki nahisi hata mimi leo nisinge kuwa hai”
“Usijali mzee wangu”
“Lazima nijali, wewe ni mtu ambaye hukunitazama kama wale watu walio kuwa wamenizunguka. Uliweza kuyahatarisha maisha kwa ajili ya Lucy wangu. Sasa ni kwanini nisikupe zawaidi”
Mzee Jongo alizungumza huku akitabasamu. Wakaingia Lucy na nesi aliye nihudumia jana. Akaja akiwa na vifaa vyake, akasalimiana na mimi pamoja na mzee Jongo kisha akaanza kunisafisha kidonda change.
“Kimesha anza kukauka, usivae nguo za kubana sana”
“Sawa nesi”
“Je kidonda chake kitapona baada ya muda gani?”
Mzee Jongo alizungumza huku akimtazama nesi huyo usoni.
“Siku nne hadi tano kitakuwa kimesha kauka. Tutamuandikia sindano za kukausha hicho kidonda kwa haraka na kila siku atakuwa anakuja kuchoma ndani ya siku hizo nne”
“Sawa, Lucy jukumu hilo utalichukua wewe sawa”
“Sawa dady”
“Je leo tunaweza kuondoka naye?”
“Ndio leo hali yake ni nzuri sio kama jana”
“Sawa, Dany utaongozana na sisi sawa”
“Sawa mzee”
“Lile shati umekuja nalo”
“Ndio baba, ila nimelisahau kwenye gari”
“Nenda kachukue mwenzako atatokaje”
Lucy na nesi wakatoka na kutuacha mimi na mzee Jongo.
“Lucy mwanangu anamatatizo ambayo, yanatakiwa kutatauliwa na mwanaume”
“Matatizo gani tena mzee”
“Ahaa bwana mdogo, usitake nikufanulie naamini umesha jua. Mwanangu ana tatizo ambalo akipata mwanaume shababi basi anaweza kulitatua kwa haraka na atajivunia kuwa na mwanagu”
Nikatambua mzee Jongo ana maanisha nini, ila sikujau ni kwanini ameamua kuniambia mimi swala hilo.
“Kwa nini umeniambia mimi hilo swala”
“Ahaaa nimekuambia hilo ili umchangamkie bwana. Niliweza kumtunza mwangu hadi sasa amefikisha miaka ishirini na nne naaamini bado kufu……”
Mzee Jongo akanyamaza baada ya Lucy akuingia akiwa amesika shati jipya lililopo kwenye mfuko wake wa nailon. Lucy akaufungua mfuko huo na kulitoa shati hilo ambalo kwa haraka haraka ni saizi yangu kabisa.
“Mvalishe mwenzio, si unaona mikononi ana mabandeji”
Lucy akanza kunivalisha, alipo maliza nikanyanyuka kitandani. Tukatoka nje tukiwa tumeongoza, tukaingia kwenye gari na safari ikaanza huku Lucy akiwa ndio dereva.
“Daughter utaniacha kazini, kisha mutaelekea home sawa”
“Sawa Dady”
Sikujua ni nyumbani wapi tunapo elekea, tukafika kazini kwa mzee Jongo akashuka, akiwa anashuka akaninkonyeza hapo ndipo nikajua kwamba mzee alicho kuwa anakizungumza kina ukweli na si masihara.
“Njoo ukae siti ya huku mbele”
Lucy alizungumza, ikanibidi kushuka kupanda siti ya mbele ambayo hapo awali alikwa amekalia mzee Jongo. Safari ikaanza kuelekea nyumbani kwao.
“Tunakwenda wapi?”
“Nyumabani, kuna nyumba yetu ipo masaki ndipo tunapotakiwa kwenda kuishi”
“Ahaa sawa, ila itabidi unipeleke kwangu”
“Huko labda baadaye kwa maana baba ameagiza nikupeleke kwanza Masaki na ameagiza uishi hapo hadi utakapo pona”
Lucy alizungumza huku akizidi kuendesha gari lake. Tukafika kwenye jumba jengine la kifahari ambalo linaonekana ndio lipo kwenye hatua za mwisho kabisa za matengenezo.
“Karibu Dany”
Lucy alizungumza mara baada ya kushuka kwenye gari, tukaelekea ndani. Nimsha wahi kuingia kwenye majumba ya kifahari ndani ya hili jiji la Dar es Salaam ila katika hili jumba la Mzee Jongo ni maradufu. Jumba limejengwa kwa ustadi wa hali ya juu huku nashi zake kwenye kuta na milango kwa ndani zikiwa ni dhahabu.
“Twende”


Lucy alizungumza mara baada ya kuniona nikiwa ninashangaa shangaa. Tukaingia kwenye lifti japo ni nyumba ya gorofa moja ila ina lifti yake. Tukafika juu, nikakuta seble nyingine hii ikiwa imeizidi seble ya chini mara dufu.
“Hichi ndio chumba utakacho kuwa unakitumia kwa maagizo ya baba kama jinsi alivyo sema”
Nikaingia kwenye chumba hicho, kwa jinsi kilivyo kikubwa kikanifanya nibaki nimeduwaa.
“Njoo nikuonyeshe kitu”
Lucy alizungumza huku akielekea kwenye mlango mmoja ulipo ndani ya chumba hicho, akaufugua na kuingia ndani na mimi nikaingia ndani.
“Hili ni bafu, sinki hilo la kuogea lote limetengenezwa na dhahabu hata hayo mabomba unayo yaona hapo pembeni yametengenezwa na dhahabu”
Lucy alizungumza, kitendo cha yeye kugeuka na kunitazama, usoni tukagongana vifua na kujikuta chochu zake zilizo simama vizuri zikigusana na kifua changu kilicho jengeka vizuri kwa mazoezi.



“Ahaa am sorry”
Lucy alizungumza huku akitazama chini kwa aibu, akataka kusogea pembeni ila nikamuwahi kumshika kiuno. Tukatazama usoni kwa dakika kadhaa, nikamuona jinsi Lucy anavyo tetemeka kwa woga kwenye midomo yake inayo chezacheza.
“Dany”
“Mmmm”
Lucy akaka kimya baada ya mimi kuitikia hakujibu kitu chochote, nikamsogeza karibu kabisa na mwili wangu, miili yetu ikagusana kabisa. Lucy akazidi kutetemeka na kujikuta akifumba macho na kushindwa kunitazama kabisa usoni mwangu.
Nikasogeza lipsi zangu taratibu hadi zikagusana na lipsi zake. Lucy akakunja kabisa sura yake na kuyapandisha mabega yake juu kidogo akionekana kuogopa sana kwa kitu ambacho ninataka kukifanya. Nikameza mate kidogo kisha nikarudisha kichwa changu nyuma na kumuachia mkono.
Nikaendelea kutazama bafu hilo lililo tengenezwa vizuri sana, akilini mwangu ninakwaza juu ya utajiri wa mzee Jongo, akiwa kama mtumishi wa serikali japo yupo ngazi ya juu, ila pesa zote hizi amezitolea wapi. Lucy akatoka bafunu humo pasipo kunisemesha kitu cha aina yoyote. Ikanibidi na mimi kutoka, sikumkuta pia katika chumba hichi.
“Amekwenda wapi huyu?”
Nilizungumza huku nikielekea mlangoni, nikafungua na kumuona akiingia kwenye moja ya chumba kilichomo huku juu gorofani.
“Anatatizo gani huyu?”
Nilijiuliza huku nikielekea kwenye chumba hicho, nikakuta mlango ameurudishia tu na kuna kijiupenyo kidogo ambacho unaweza kuona ndani. Nikausukuma taratibu na kuchungulia ndani. Nikamuona Lucy akiwa amekaa kitandani huku akimwagikwa na machozi usoni mwake.
‘Ina maana amechukizwa na kumkiss?’
Ikanibidi kuingia chumbani humo, Lucy akanyanyua kichwa chake. Kwa ishara ya mkono akanionyesha ishara ya kutoka chumbani humo.
“Lucy kuna tatizo lolote jamani?”
“Nimesema ondoka chumbani kwangu”
Hapo Lucy alizungumza kwa hasira hadi nikabaki nikiwa nimemkodolea macho kwa maana sikutarajia msicha mzuri kama huyu anaweza kukasirika kwa namna hii.
“Lakini Lucy si…..”
“Koma kuniita jina langu, sitaki mazoea na wewe, hata kama umeniokoa na moto ila masikini kama wewe huwezi kuwa na mimi”
Maneno ya Lucy yakapenya moja kwa moja kwenye moyo wangu. Nikamtazama Lucy kwa macho yaliyo jaa uchungu, nikajikuta nikianza kujutia moyoni mwangu ni kwa nini nimejitia kwenye majaribu ya kumsaidia hadi leo sehemu ya mgongo wangu imepatwa na majeraha.
“Look at yourself. Do you think unaweza kuwa na msichana kama mimi ehee”
Lucy alizidi kuzungumza kwa dharau huku akinitazama usoni mwangu. Akanipandisha kwa macho na kunishusha kisha akaachia msunyo mkali ulio anza kunipandisha hasira.
“Let me tell you this. Wewe sio level yangu, na siwezi kuwa na wanaume wa Sinza kama wewe. Toka chumbani kwangu kabla sijakufanya kitu mbaya”
“Asante”
Nilizungumza huku machozi yakinilenga lenga. Nikatoka chumbani kwake, sikuona hata haja ya kurudi katika chumba nilicho ambiwa nitakaa humo. Sikutumia lifti iliyopo ndani humo, nikaanza kushuka kwenye ngazi za chumba hicho kwa haraka, nikatoka nje ya nyumba hicho. Nikafika getini mlinzi akanifungulia huku akinitazama usoni kwa kunishangaa kwa maana machozi yalisha anza kunilenge lenga. Ubaya wa huku Masaki, pikipiki wala bajaji hazipiti piti mitaani, ikanibidi kuanza kutembea hadi kwenye kituo cha dalala, nikakodi pikipiki, dereva akanipeleka hadi Sinza ninapo ishi.
“Nisubiri nikuletee pesa yako”
“Sawa bosi”
Nikaingia ndani, moja kwa moja nikaelekea chumbani kwangu, kitu kilicho nistua kidogo ni kuukuta mlango wangu upo wazi kidogo. Nikakumbuka kwamba jana sikuweza kuufunga na funguo ila niliuurudishia tu.
Nikaingia kwa kuusukuma taratibu. Macho yakanitoka baada ya kumkuta K2 akiwa amelala kitandani huku amejifunga taulo kiunoni mwake na amelala kifudi fudi.
Sikumstua chochote zaidi ya kuchukua pesa kwenye waleti yangu iliyokuwa kwenye sofa, nikatoka nje na kumlipa dereva bodaboda na kurudi chumbani kwangu.
Nikamtazama jinsi K2 alivyo lala kitandani na makalio yake yalivyo ju. Nikatamani hata kuchukua mkanda na kuyacharaza pasipo uruma ila heshima ya kazi nikajikuta ikinivaa taratibu nikajikuta nikimgusa mgongoni na kumtingisha.
“Bosi, Bosi”
“Mmmmm”
K2 alizungumza huku akijigeuza taratibu. Akanitazama usoni mwangu, akaachia tabasamu pana kidogo.
“Umerudi?”
“Ndio, umekuja kufanyaje chumbani kwangu?”
“Kwani kuna ubaya wa mpenzi kuja nyumbani kwa mpenzi wake”
K2 alizungumza huku akikaa kitako kitandani, kwa jinsi ninavyo mtazama usoni mwake nikatamani kumtandika kofi kama alili nipiga jana asubihi, ila nikajikuta nikibaki nimemkazia macho. K2 akanitazama mikononi na kuishika kwa haraka na kuitazama.
“Dany umefanyaje mikono yako?”
“Niliungua na moto”
“Moto, wapi na ilikuwaje kuwaje?”
“Sihitaji maswali mengi”
Nilizungumza huku nikinyanyuka kitandani, taratibu nikalivua shati nililo livaa huku nikimtazama K2 usoni.
“Dany, natambua kwamba una hasira na mimi, ila unatakiwa kunijibu basi maswali yangu”
“Hatupo ofisini kwa kusema uweze kuniamuru kuweza kuyajibu maswali yako sawa”
Nilizungumza kwa ukali hadi K2 mwenyewe akashangaa, nikatembea hatua chache na kufungua friji. Hapo ndipo K2 alipo kurupuka kitandani na kunisogelea, huku akinitazama mgongoni mwangu.
“Dany huku pia mgongoni umeungua?”
“Mimekuambia sitaki maswali sawa”
“Lakini Dany tambua kwamba nina kupenda na nilicho kufanyia jana sio kama nilikifanya makusudi ni hasira tu niliyo toka nayo nyumambani kwangu”
“Sihitaji kujua kwamba ulikuwa na harisa kutoka nyumbani kwako au laa, ninacho kihitaji sasa hivi nitulie. Kama utalala hapo kitandani wewe lala, kama utataka kuondoka wewe ondoka”
Nilizungumza huku nikitoa soda a kopo alizo zinunua Mariam”
“Dany”
K2 aliniita kwa upole huku akijaribu kunishika mkono wangu, ila nikuasogeza mkono wangu pembeni kwa nguvu, asinishike kabisa.
“Dany juzi mume wangu niligombana naye so niliamka na hasira ila nakuomba unisamehe sana”
“Msamaha huo kamuombe mume wako, hivi unahisi kwamba unaweza kuzilazimisha hisia zangu kwako. Tangu jana ulipo ninyayasa kwa kunitandika kibao hisia zangu zilizo anza kuvutiwa na wewe zilifutika kabisa kwako”
“Nitabaki kukuheshimu kama bosi wangu, na wewe nakuomba uniheshimu kama mfanyakazi wako. Na tunapo elekea nitaandika barua ya kuacha kazi”
“What, uache kazi kwa ajili yangu?”
“Ndio”
“Ila tambua kazi yetu mtu uwezi kuacha hadi mauti yatakapo kukumba”
“Natambua hilo, ila mimi ndio nitakuwa wa kwanza kuacha kazi kwenye kitengo hichi, utafurahi na roho yako.”
Nikagugumia fumba la soda, na kukaa kitandani, K2 naye akaka kitandani huku akinitazama kwa macho yaliyo yaa wasiwasi mwingi.
“Dany, nipo tayari kufanya chochote ila si kukuacha wewe, nimesha kupenda”
“Eheee, hivi unatambua kwamba mimi na wewe hatuaendani. Umenipita hata miaka kumi na tano. Hivi unadhani pale ofisini watu wakitambua kwamba mimi na wewe tuna mahusiano, watananichukuliaje mimi. Niache nitafute kijana mwenzangu ambaye anaweza kukidhi haya ya mwili na moyo wangu”
“DANY INATOSHAAAAAA…….”
K2 alizungumza huku akifumba macho yake, machozi yakaanza kumwaika usoni mwake. Sikulijali hilo kwa maana na yeye amenikuta nikiwa kwenye hali ambayo sio nzuri kusema kweli kwa maana maneno aliyo nieleza Lucy yanazidi kujirudia rudia mara kadhaa kichwani mwangu.
“Dany nakuomba unipe japo mara ya mwisho nitakuwa tayari kuachana na wewe”
“Nisikilize K2, hujanipenda mimi, umenitamani na siku zote zipendi mwanamke ambaye ananitamani kwa maana sipendi huo upuuzi wa kutamaniwa sawa”
“Dany jamani nakupenda au unataka nitoke nje uchi niwaambie wapangaji wezako kwamba ninakupenda”
“Haaa toka”
K2 akasimama akalivua taulo na kulitupia kitandani, akavua bikini aliyi ivaa na kuanza kupiga hatua hadi mlangoni, akaufungua, kwa haraka ikanibidi kumuwahi na kumshika mkono na kumrudisha ndani.
“Mtu mzima wewe, unataka kufanya nini?”
“Kwani mtu mzima hapaswi kupenda”
“Acha useng……”
K2 akaniwahi kwa kuninyonya mdomo wangu. Nikajaribu kujitoa mikoni mwake ila nikashindwa kutoka na kuniwahi kuning’ang’ani. Tukakokotana hadi kitandani, ambapo K2 alinikalisha na kuanza kuufungua mkanda wa suruali yangu, akanivuasuruali yangu na kuitupa pembeni. Sikuwa na ujanja kwa maana matamanio ya mapenzi tayari yalisha mvaa jogoo wangu aliye simama wima.
Akamchomoa kwenye boksa yangu na kuanza kumchua huku akimtazama kwa macho ya matamanio. Akachuchumaa chini na kuanza kucheza na jogoo wangu.
Mawazo ya kuyafikiria maneno ya Lucy taratibu yakaanza kunitoweka kichwani mwangu. Kwa jinsi K2 anavyo cheza na jogoo wangu, sikutamani hata kumuachia kwa maana alimnyonya kwa fujo ambazo zinanifanya nijisikie raha hadi kisogoni.
Akaanza kunyonya vitenesi vyangu, huku kwa mara kadhaa akivituta na lipsi zake, hakuishia hapo akaanza kumpigisha jogoo wangu kwenye mashavu yake na kunifanya nizidi kujisika raha.
‘Masikini wee anajitahidije’
Nilizungumza kimoyo moyo huku nikimtazama K2, jinsi anavyo hangaika na jogoo wangu, japo ninajisikia raha ya namna yake, ila moyo wangu bado haupo kwake. Akanyanyuka, akatema mate kidogo kwenye kiganja cha mkono wake wa kulia, akajipaka kwenye kitumbua chake, kisha akanigeuzia mgongo wake huku akiwa amemshika jogoo wangu kwa mkono wa kushoto.
Taratibu akaanza kumuingiza kwenye kitumbua chake. Taratibu akashuka naye hadi akazama wote kwenye kitumbua. Kitu kinacho nifurahisha kwa K2 ni jinsi anavyo jituma katika swala hilo, sio kama baadhi ya wanawake nilio wapitia ambao ni wavivu hadi wanakoseha ladha ya kuwa na mahusiano nao.
Ikawa ni kazi ya kufanya zoezi ambalo ninaweza kulifananisha na kichura chura, ila utofauti uliopo ni kwamba mazoezi haya K2 amakikalia kitumbua changu na jinsi anavyo kizungusha kiuno chake nilijikuta nikiyafumba macho kwa raha ninayo isikia.
Nikayafumbua macho yangu pale K2 alipo mchomoa, jogoo wangu kwenye kitumbua chake, akampaka mate kidogo na kutana kumuingiza kwenye mk..nd**
“Unataka kufanyaje?”
Nilimuuliza K2 huku nikiwa nimemtolea macho kwa maana sipendi mchezo wake. K2 akageuka huku jasho likiwa linamwagika uso mzima.
“Dany nawashwa bwana”
“Si nilisha kueleza kwamba sipendi hii tabia yako”
“Dany nionee huruma, nikune kidogo tu tafadhali”
K2 akageukia alipo kuwa amegeukia, taratibu akamuingia jogoo wangu alipo kuwa amekusudia kumuingiza, hapo ndipo kasi yake ya kumkalia ilipo ongezeka mara mbili zaidi ya pale alipo kuwa amemuingiza kwneye kitumbua chake.
“Ohooo Dany Dany”
K2 alipiga makelele ya raha, na kujisahau kabisa kwamba hapa tulipo ni nyumba ya kupanga. K2 akaendelea kuzungusha kiuno chake huku mikono yake miwili akiwa ameyashika maziwa yake yasiruke ruke.
“Usipige kelele bwana”
“Jamani Unaniuaaaaa”
Ndio kama nilimuambia kwamba azidisha makelele, nikatamani kumziba mdomo ila nikajikuta nikishindwa kutokana na viganja vyangu kuwa na majeraha ya kuungua.
“unaniuaa……Ooo”
“K2 tu acha kelele bwana nini, ujue nitaacha”
Muda huu ilinibidi kuzungumza kwa sauti yakufoka kwa maana kelele za K2 zimezidi kiwango, na ninaamini kama kuna mtu nje basi anaweza kusikia kila kitu.
K2 akanyamaza huku kichwa chake akitazama juu, na kuzidi kuongeza kasi ya kujikuta mk..nd** wake na jogoo wangu, raha niliyo anza kuipata kitokana na waarabu weupe wanao taka kutoka, nikajikuta na mimi nikifumba macho huku nikiwasikilia wanavyo safiri kutoka miguuni hadi, wakapanda mapajani, kiunoni hadi wakaanza kukaa usawa wa kutoka.

“K2 nakojoaa……”
“Kojoa tu”
Viungo vyote vya mwili wangu vikapata raha ambayo siku zote wanaume tukifika hatua hiyo tunaweza kujikuta tukaropoka maneno ambayo hata hayapo kwenye huu ulimwengu, ili mradi kuwasindikiza waarabu hao. Waarabu weupe wakatoka kwa kasi na kunifanya nifumbue macho yangu huku nikiwasikilizia wakitapakaa kwenye mkud* * wa K2. Kitendo cha kufumbua macho yangu, nikakutana uso kwa uso na Marim aliye simama mlangoni akitutizama kwa kuduwaa, na kunifanya mapigo yangu ya moyo kuniaenda mbio, nilipo mtazama K2 mwenzangu bado alitazama juu huku akiyabana maziwa yake kwa nguvu.



Mariam ona tunatazama, akatoka kwa haraka hata kabla K2 hajamuona.
“Ohooo Dany your so cryz”
Sikumjibu chochote K2, kwa maana mawazo yangu yote nilisha anza kumfikiria Mariam ambaye ni msichana aliye ziteke hisia zangu za ukweli za mapenzi. K2 akanyanyuka taratibu na kujilaza kifudifudi kitandani huku akiyatingisha makalio yake.
“Hapa nimepata hata nguvu ya kufanya kazi leo ofisini kwa maana mwenzako sikuwa na nguvu kabisa ya kufanya kazi ofisini”
“Kwa hiyo auendi ofisini?”
“Nitakwenda, kwa maana mk..nd** mzima ulikuwa ukiniwasha washa nilipo kuwa ofisini”
“Mbona hukuja na gari?”
“Ahaaa sikutaka watu wafahamu ninapo kwenda, nilikodisha taksi hadi hapa”
“Ok fanya ukaoge?”
“Dany subiri kwanza ziingie vizuri”
K2 akaendelea kujilaza, kutokana na jasho nililo lipata sikutaka kukaa nalo. Nikajifunga taulo na kutoka nje, kwenye kordo hapakuwa na mtu wa aina yoyote, nikarudi chumbani na kuchukua sabuni na moja kwa moja nikaelekea bafuni. Kimbebe kikawa ni kwenye kuoga kwa maana vidonda vikiingia maji vinauma kupita maelezo. Nikaoga kiaina aina huku nikihakikisha kidonda cha mgongoni sikitii maji.
Japo vidonda vya mikononi vinakumbana kwa maumivu makali ya maji ila nikajikaza hadi nikamaliza zoezi langu, nikafungua bandeji zote nilizo fungwa viganjani, nikatoka nazo bafuni huku nikiwa nimejifunga taulo. Nikiwa naelekea kwenye ndoo ya matakataka nikakutana na Mariam akataka kunisemesha kitu ila alipo niangalia mgongoni akastuka. Nikaziweka bandeji hizo kwenye kindoo hicho cha taka kisha nikampita kama sijamuona, nikaingia chumbani kwangu na kumkuta K2 bado akiwa amejilaza.
“Bafu lenu lipo kwa wapi?”
“Ukitoka huko uwani utaiona milango miwili, wa mwisho kabisa ni mlango wa choo na pembeni upande wa kushoto kwako ni mlango wa bafu”
“Hakuna watu hapo uwani?”
“Sasa wewe unaogopa watu”
“Ahaa sipendi uchoro mimi”
“Wewe nenda hakuna watu”
K2 akashuka kitandani akajifunga taulo, kunzia kifuani, ambalo liliishia kwenye nusu ya mapaja yake hii ni kutokana na urefu wake.
“Sabuni ipo wapi?”
“Hiyo hapo juu”
K2 akachukua sabuni na kutoka, nikajilaza kitandani huku feni nikilitega sehemu moja na lisizunguke zunguke. Nikajilaza kitandani kifudifudi, kidogo upepo huo wa feni ukawa unanipa hauweni ya maumivu ya kidonda cha mgongoni kupungua. Baada ya dakika kama tano, K2 akarudi chumbani huku akiwa amemaliza kuoga.
“Aiseee kumbe kidonda chako kikubwa hivi”
“Ndio”
“Ulifanyaje?”
“Jana kuna nyumba ilikuwa inaungua hapo mbele, sasa kuna mtu alibaki ndani, nikaenda kumuokoa”
Aisee pole sana, sasa alifufa?”
“Hapana alisalimika na wala hajaungua sehemu yoyote”
“Kwa staili hiyo, basi itabidi upumzike hadi kidonda kitakapo kuwa sawa”
“Sawa, ila nitaomba niende nyumbani Tanga nikasalimie”
“Na kidonda hicho, bado kibichi unataka kusafiri tena?”
“Nitavaa mashati makubwa”
“So nikupe dereva akupeleke?”
“Hapana”
“No Dany kwa hali kama hiyo huwezi kusafiri kwenye basi, kesho Hassani atakuja kukuchukua alfajiri na mapema muanze safari sawa”
“Sawa”
“Ngoja niende kazini, jioni nitakuletea pesa ya kwenda kusalimia nyumbani”
“Sawa”
K2 akaanza kuvaa nguo zake, akatoa vipodozi kwenye pochi yake na kuanza kujipara akitumia kioo cha dreasing table yangu iliyomo humu ndani kwangu. Alipo maliza, akanifwata kitandani, akanifunika shuka kuanzia miguuni hadi kwenye kiuno.
“So Dany umenisamehe”
“Ndio ila siku nyingine usirudie ujinga ulio ufanya, hata kama wewe ni bosi wangu”
“Sinto fanya hivyo Dany wangu, nakuapia haki ya Mungu, sinto rudia huo ujinga”
“Sawa”
K2 akanisogelea na kunibusu mdomoni, na shavuni. Akafungua pochi yake na kutoa noti nyingi za elfu kumi kumi na kunikabidhi.
“Laki mbili hiyo, fanya basi utafute chakula cha mchana”
“Sawa, asante”
“Jioni nikitoka ofisini nitakuletea chakula”
“Sawa baby”
“Waaoo Dany umeniita baby leo, asante sana”
“Usijali”
K2 akatoa simu yake, akampigia dereva wa taksi aliye mleta, baada ya dakika tano, simu yake ikaita.
“Amesha fika, naona ananipigia, so fanya ule mme wangu”
“Sawa mamy”
K2 akanipiga busu tena, akabeba pochi yake, na kutoka chumbani kwangu huku akipokea simu ya dereva taksi huyo aliye mleta. Nikazihesabu pesa hizo kweli nikakuta ni laki mbili. Nikaziweka pembeni ya mto nilio lalia. Hata kabla sijafanya chochote nikasikia hodi mlangoni kwangu.
“Nani?”
“Mariam”
“Ingia”
Akaingia Mariam akiwa mnyonge, kwa ishara ya mkono nikamuomba akae kwenye sofa. Mariam akanitazama mgongoni mwangu, kisha akanitazama usoni.
“Dany naomba unisamehe”
“Kwani umefanya kosa”
“Ndio, niliingia ndani kwako pasipo idhini yako”
“Usijali nimekusamehe, niambie kilicho kuleta”
“Nilikuja kukupa pole kwa kuungua, nilisikia jana ila sikuweza kukuona, sasa leo nilipo sikia kelele chumbani kwangu ikanibidi nije kukusalimia”
“Ok, usijali naendelea vizuri, so umekula?”
“Ndio nimekunywa chai”
“Chuku hii pesa kalete chipsi kuku mbili, yako na yangu”
Nikatoa elfu thelathini na kumkabidhi Mariam aliye nyanyuka na kuja kuzichukua kitandani nilipo jilaza.
“Sikia kuku wangu wamkaushe, na chipis yangu uikaushe”
“Sawa”
“Chuku na hii elfu kumi niletee miskaki”
“Mingapi?”
“Kwani mskaki mmoja ni shilingi ngapi?”
“Ni miatano”
“Lete ya pesa yote. Hivi mama yupo?”
“Hapana, amekwenda Mbagala kufwatilia watu alio wakopesha vitenge vyake”
“Atarudi saa ngapi?”
“Nahisi usiku”
“Ok leo hujaenda chuo?”
“Leo sina mtihani”
“Sawa kalete hivyo vitu. Hembu fungua friji uangalie ni kinywaji gani kimepungua”
Mariam akafanya kama nilivyo muagiza, akafungua friji, akatazama kwa sekunde kadhaa kisha akalifunga.
“Vinywaji havijapungua sana, ila kuna sahani ina ndizi”
“Ahaa okay, basi kalete msosi”
Mariam alitoka, akiwa mnyonge dhairi nikatuambua kuna kitu ambacho kinamsumbua. Nikachukua simu yangu iliyopo mezani na kutazama meseji zilizo ingia, hapakuwa na meseji nyingi zaidi ya meseji za marafiki zangu ofisini wengine wakiniuliza ni wapi nilipo. Sikujibu meseji ya yoyote kutokana na kuchoka.
Baada ya nusu saa Mariam akarudi akiwa ameshika mfuko mkubwa mweusi. Akauweka mezani na kuchukua sahani kwenye sehemu ninapo ziweka. Akaanza kutenga chakula, alipo maliza akaniomba ninyanyuke kitandani. Taratibu nikanyanyuka kitandani kwa bahati mbaya shuka niliko jifunika, likaniponyoka kwa mbele nilipo kuwa nimepashika na kusababisha sehemu yote ya mbele kuonekana. Mariam akapakodelea macho, kisha akatazama pembeni na kujikausha kama hajaona kilicho tokea. Nikajifunga shuka hilo vizuri kiunoni na moja kwa moja nikaelekea kukaa kwneye sofa, naye akakaa pembeni yangu.
“Niletee uma, siwezi kula kwa kiganja”
“Sawa”
Mariam akanyanyuka kwenye sofa na kwenda kunichukulia uma, kisha akarudi nao. Akanikabidhi kisha yeye akanawa mikono kwa maji aliyo kwisha kuyaandaa, akasali na kunikaribisha chakula.
“Hivi wewe na mama yako ni dini gani?”
“Wakristo”
“Ahaa”
Ukimya ukatawala kati yetu huku tukiendelea kula taratibu. Ikanibidi kuwasha redio yangu kubwa,taratibu mziki wa West life unao itwa Fool again, ukaanza kusikika kwenye spika za redio yangu.
“Hivi umempendea nini yule mama?”
Swali la Mariam likanistua hadi uma ukaanguka, sikutegemea kama ataniuliza tena kwenye hali ya upole na unyonge huku akiitazama sahani yake ya chakula.
“Kwa nini umaniuliza hivyo?”
Mariam akausitisha mkono wake alio kuwa anaupeleka mdomoni, huku ukiwa umeshika kipande cha nyama ya kuku, taratibu akakirudisha kwenye sahani, akashusha pumzi na kuunyanyua uso wake na kunitazama.
“Dany, siku mbili tatu hizi tulizo kuwa karibu na kulala kule hotelini chumba kimoja pasipo kufanya kitu chochote, moyoni mwangu nilijihisi mtumwa wa kkitu ambacho siku zote siwezi kukiweka wazi mbele ya mwanaume”
“Kitu gani?”
“Dany, mimi ni mwanamke matendo yangu dhairi yanaweza kukuonyeshea kwamba nina kitu fulani moyoni mwangu”
Mariam alizungumza kwa unyonge ambao sikutarajia hata siku moja kwamba anaweza kuuzungusha, isitoshe na tukio la leo la kunikuta ninafanya mapenzi na K2 ndio kabisa nikakata tamaa hta ya kumpata nikiamini kwamba nimesha mkosa kwenye maisha yangu.
“Ila najiona nimesha chelewa kwako, na wala siwezi kukulaumu kwa hichi ulicho kifanya kwa leo hii ni kutokana na kukusukuma mbali pale ulipo kuwa una nihitaji. Nayakumbuka macho yako uliyo nitazama nayo juzi ulipo nishika mkono, najisikia furaha sana kila nilipo ikumbuka ile siku”
Mariam wakati huu aliuzungumza maneno hayo huku machozi yakimwagika usoni mwake. Nilijihisi vibaya sana moyoni mwangu kumuona Marian analia kwa mwanaume ambaye tayari nipo kwenye mahusiano na mwanamke mwengine tena ameshuhudia miili yetu iliwa mitupu kabisa.
Taratibu nikaupisha mkono wangu mabegani mwa Mariam na kumvutia karibu yangu na kumlaza begani mwangu.


“Dany nakupenda, hata ukinifikiria vibaya ni bora kuliko hivi nikae na dukuduku moyoni mwangu”
‘Mama yake nitamuweka wapi naye?’
Nilijiuliza akilini mwangu huku nikisikilizia Mariam jinsi anavyo lia lia. Nikashusha pumzi nyingi, huku nikitamani kukubali ombi lake, japo kusema kweli ninahisia naye ila mama yake akifahamu kwamba nina mahusiano na mwanaye ninahisi nitaleta ugomvi kati yao isitoshe Mariam na mama yake wanapenda sana.
“Mariam?”
“Bee”
“Usilie, nimekuelewa, ila nakuomba unipe muda katika hili”
“Sawa Dany nipo tayari kukupa muda hata mwaka mzima, ila unapo fanya mambo yako jaribu kufikiria kwamba kuna mwanamke nyuma yako anakupenda kwa moyo wake wote.”
“Sawa nimekuelewa Mariam, haya sasa tuendelee kula. Nilishe tu uma wangu si umeanguka”
“Sawa”
Maria akanyanyua kichwa kwenye bega langu kwa furaha, akaanza kunilisha huku mara kadhaa akinitazama usoni mwangu na kuachia tabasamu.
‘Mariam nakupenda ila K2 akikujua wewe atakuua’
Niliwaza kichwani mwangu huku nikimtazama Marian anaye tabasamu. Tukamaliza kula, Mariam akatoa vyombo nje kwenye kuviosha, nikarudi kitandani. Baada ya muda kidogo akavirudisha na kuviweka katika sehemu ambayo amevitoa.
“Mariam kwa sasa nakuomba nipumzike”
“Sawa Dany”
“Je una mapungufu yoyote katika mahitaji yako?”
“Hapana ile pesa uliyo nipa siku ile nimeweza kununua mahitaji yangu yote, na nimebakiwa na elfu hamsini ya matumizi madogo madogo”
“Njoo”
Mariam akanifwata kitandani nilipo lala, nikachukua noti nyingine tano na kumkabidhi.
“Utaongezea kwenye hiyo pesa yako ya matumizi kesho ninakwenda Tanga, nitakaa huko wiki moja na amini hadi nikirudi bado pesa hiyo utakuwa nayo”
“Haaa tena utakuna hata sijaitumia sana, mimi najua kupanga bajeti”
“Sawa, na mitihani munamaliza lini?”
“Kesho kutwa, tukimaliza tunafunga chuo”
“Ok sawa, hembu niandikie namba yako ya simu hapa”
Nikamonyesha simu yangu, akaandika namba yake na kuisave kwenye simu yangu na kunirudishia. Akaniaga na kutoka chumbani kwangu huku akiurudishia mlango wangu. Kwa miziki mizuri na mizuri ya mapenzi, inayo sikika kwneye redio nikajikuta kausingizi kakinipitia taratibu na kulala fofofo.
***
“Dany, Dany”
“Mmmmmm”
Niliitika huku nikiyafumbua macho yangu, nikamkuta K2 amekaa pemeni ya kitanda change.
“Unaendeleaje?”
“Nipo poa”
“Nimekuja na Hassani yupo hapo nje, kesho nimemueleza aje kukuchukua saa kumi na mbili asubihi muanze safari”
“Sawa”
Nilizungumza huku nikikaa kitako kitandani. K2 akafungua pochi yake na kutoa kibunda cha pesa kilicho fungwa na ‘rababend’ na kunikabidhi.
“Milioni tatu hiyo, naamini itakusaidia huko huendapo”
“Ndio shukrani sana mpenzi wangu”
“Usijali, kama pesa itakuwa imekuishia wewe nipigie simu nitakutumia”
“Sawa”
“Sasa nimekosa hata muda wa kupitia kwenya mgahawa na kukuletea chakula. Kama unaweza kumuagiza hata mtu akakununulia chakula”
“Ninaye bodaboda wangu mmoja nitamuagiza anichukulie chakula”
“Sasa sina muda wa kukaa, mpenzi wangu si unajua tena nyumbani kwangu mzee anasumbua sumbua na hapa ameniambai mwanangu anaumwa nataka nimuwahi kwenda kumtazama”
“Ahaa pole kwa kuuguliwa”
“Usijali, hembu fanya uvae japo nguo uje kumsalimia Hassani”
“Sawa”
K2 akafungua kabati langu na kunitolea pensi, na shati jespesi. Nikavaa, nilipo maliza akaninyonya midomo yangu taratibu.
“Dany nakuomba ujilinde huko uendako, isije vijiwanawake vyako vya kitanga wakaenda kukupagawisha na ukanisahau mimi”
“Siwezi kufanya hivyo mpenzi wangu”
“Ok tutoke nje”
Tukatoka na kuanza kutembea kwenye kordo huku K2 akiwa amenishika kiuno, kabla hata hatujafika mlango wa kutokea mama Mariam akatoka chumbani kwake, alipo nitazama akakunja sura yake akionekana kuchukizwa na tukio hilo la K2 kunishika kiuno, hata kabla hatujasonga mbele, mlango wa mbele ukafunguliwa na akaingia Mariam akiwa ameshika kifuko cheusi, aliopo muona K2 akajikuta akiangusha kifuko chake na kumfanya K2 kunitazama na macho ya kuniuliza swali juu ya tukio analo liona kwa wanawake hawa wawili.



Nikamshika K2 na kutoka naye nje, nikamsindikiza hadi kwenye gari. Nikasalimiana na Hassani aliye anza kunipa pole, juu ya tukio lililo toke.
“Sasa Dany hakikisha kwamba mukianza safari unaipigia simu”
“Sawa bosi”
Nilimuita bosi kutokana na uwepo wa Hassani. K2 akanikonyeza pasipo Hassani kuona kisha akaingia kwenye gari. Wakaondoka eneo la mtaani kwetu, na kuniacha nikilisindikiza gari hilo kwa macho tu, nikageuka nyuma yangu na kufungua geti na kuingia ndani, ila ninakutana na Mama Mariam akiwa amesimama kwenye mlango wa kuingilia ndani. Nikapandisha vingazi na kuufwata mlango.
“Naomba kupita”
“Ninamazungumzo na wewe fanya tuzungumze”
“Tuzungumze sasa hivi kwa maana hapa ninajisikia vibaya”
Nilizungumza huku nikimuonyesha mama Mariam majeraha ya kwenye viganja vyangu, akavitazana na nikaiona sura yake ikijikunja kidogo akionekana kuguswa na maumivu hayo.
“Umefanyaje?”
“Nimeungua jana kwenye nyumba ya mzee Jongo”
“Mungu wangu, ilikuwaje sasa?”
Mama Mariam alizungumza huku akisogea pembeni ya mlango, tukasogea mlangoni hapo. Kutokana nyumba yetu imezungushiwa geti sikuona aibu ya kufungua vifungo vya shati langu na kulivua. Nikamuonyesha kidonda nilicho ungua mgongoni.
“Yesu wangu. Dany ni wewe?”
“Ndio”
“Jamani sasa mbona hukuniambia, wakati namba yangu unayo?”
“Nilikuwa hospitali usiku wa kuamkia leo”
“Masikini wee, pole jamani.”
Mama Mariam alizungumza kwa sauti ya upole iliyo jaa simanzi ndani yake. Nikalivaa shati langu naamini hata lengo la mama Mariam kuweza kuniuliza juu ya K2 kwa hali ya ukali imemuisha.
“Sasa Dany umekula?”
“Hapana”
“Ngoja nimuambie Mariam akuhesabu chakula, kwa maana anapika wali maharage”
“Ahh sawa”
“Alafu Dany yule uliye toka naye ni nani kwako?”
“Yule ni bosi wangu, amekuja kunitembelea na kuniletea barua ya mapumziko”
“Ahaaa kwa maana nilihisi ni mwanamke wako alivyo kuwa amekushika kiuno”
“Hapana sio mwanamke wangu”
“Basi nenda kapumzike, badae nitakuja ndani kwako”
“Sawa”
Nikatangulia kuingia ndani na kumuacha mama Mariam akiwa amesimama hapo kibarazani. Nikaingia ndani kwangu, cha kwanza kukifanya ni kuanza kuzihesabu pesa hizo alizo nipa K2. Nikajikuta furaha ikunitawala, taratibu nikaanza kupanga nguo chache ambazo ninaweza kwenda kuzitumia nyumbani Tanga nitakapo kwenda. Nilipo maliza kuziweka kwenye kibegi kidogo, nikatoa pesa kadhaa na kuziweka kwenye begi hilo kisha nyingine ninaziweka kwenye suruali ambayo nitasafiria kesho.
Muda ukazidi kwenda, huku nikiwa ninatazama miziki kwenye luninga. Majira ya saa mbili mlango ukagongwa na ninaisikia sauti ya Mariam, nikamruhusu aweze kuingia ndani. Akaingia akiwa amebeba sahani iliyo jaa ubwabwa na maharage, huku pembeni akiwa ameweka samaki mkubwa aliye kaangwa na kachumbari.
“Karibu chakula Dany”
“Asante, mbona umenijazia chakula”
“Nataka ule ushibe, usiku nitakuja”
Mariam alizungumza huku akitabasamu. Akachota maji kwenye ndoo iliyopo humu ndani kwangu kisha akachukua beseni na kutaka kuninawisha.
“Nipatie kijiko tu si unaoviganja vyangu jinsi vilivyo”
“Nimeviona ila nawa kidogo, utamlaje huyo samaki”
“Haya mwaya”
Akaninawisha mkono wa kulia, kisha akanipatia kijiko. Nikiwa ninachota wali huo, akanipokonye kijiko akakishika na kunilisha, kisha akakata kipande cha samaki akakiweka mdomoni mwake na kunisogezea mdomoni mwangu, sikuwa na jinsi zaidi ya kukipokea. Kwa mara ya kwanza Mariam akaninyonya mate kwa ridhaa yake.
“Ngoja nitoke mama asije akanifikiria vibaya bure”
“Poa ila leo usiku usije, si unajua tena sipo vizuri”
“Mmmm jamani Dany?”
“Yaa usije naomba nipumzike, kesho nina safari ya kwenda Tanga kusalimia”
“Kwa hiyo hadi urudi ndio tutafanya jamani?”
“Usijali sikai sana”
“Haya mwaya
Marim akanibusu tena mdomoni na kutoka chumbani kwangu, nikashusha pumzi kidogo kwa maana mchezo ambao Mariam anataka kuufanya ninahisi ipo siku mambo yanaweza kuwa mabaya, pale mama yake akifahamu na anaonekana ni mama mwneye wivu sana na mpenzi wake japo hatujayaanza kwa makubaliano.
Nikaendelea kula chakula taratibu hadi nikakimaliza, nikabeba sahani hiyo na kutoka nayo nje, nikamkuta Mariam anaosha vyombo.
“Asante chakula chako kitamu sana”
“Asante”
Mariam alizungumza huku akinipokea sahani hiyo. Akanikonyeza na mimi nikaondoka na kumuacha aendelee na kazi yake. Nikaingia ndani kwangu na kukuta mwanga wa simu yangu iliyopo mezani ukizima ikiashia kwamba kuna mtu amepiga au kutuma meseji, nikiwa nje. Nikaichukua na kuminya pembeni na kuifanya simu kuwaka mwanga wake, nikaingiza namba za siri ninazo ziweka kwenye simu yangu, ilipo waka nikafungua ujumbe wa meseji ambao unatoka kwa mama Mariam.
(DANY NITAKUJA SAA SITA USIKU USIFUNGE MLANGO EHEE)
(Sawa)
Nikamjibu na simu yangu kuirudisha mezani, nikavua nguo zangu na kujifunga taulo. Nikachukua sabuni yangu na kutoka ndani kwangu. Niakakutana na Mariam mlangoni akiwa amebeba dishi la vyombo.
“Unakwenda kuoga?”
Aliniuliza kwa sauti ya chini huku akitazama nyuma kama kuna mtu
“Ndio”
“Nakuja bafuni tuoge sote”
“Wee mama yako yupo”
“Kasha jifungia ndani kwake, nakuja sawa”
Nikatabasamu na kuona ni uongo. Nikaelekea bafuni, nikawasha taa ya bafuni nak ufungua mlango na kuingia, nikaufunga mlango kwa komeo kisha nikavua taulo langu na kuliweka kwenye msumari uliopo nyuma ya mlano.
Nikafungua maji ya bomba hilo la mvua, kabla hata sijaoga, nikasikia mlango unagongwa, ikanibidi kuguna kwa ishara kwamba kuna mtu bafuni.
“Dany fungua”
Sauti ya Mariam ikanifanya moyo wangu kunienda mbia, kwa maana sikutarajia kama anaweza kufanya mchezo wa hayari namna hii.
“Dany fungua, hapa nje hakuna mtu”
Nikajifikiria kwa sekunde kadhaa na kujikuta nikifungua mlango, Mariam akaingia akiwa amejifunga tenge moja tu.
“Weee Mariam mbona unafanya michezo ya hatari”
Mariam akaniwahi kwa kunipiga busu la mdomo na kuanza kuinyonya midomo yangu kwa haraka na pupa.
“Dany mimi sijari,”
Marim alizungumza huku akiushika Mashine yangu, na kuanza kuuchua na kiganja chake kilaini. Msisimko ambao ninaupata kutoka kwa Mariam kusema kweli hauelezeki, sasa sijui ni kutokana na hisia zangu za mapenzi juu yake, kwa maana msisimko huu sijawahi kuupata kwa mwanamke yoyote. Nikajikuta nikimfungua Marim tenge alilo jifungu. Hapo ndipo nikazidi kupata msisimko wa kimapenzi. Lile umbo ambalo nilikuwa ninaliwazia kwa kumtazama Mariam ndio hili ambao kwa sasa ninaliona Live bila chenga. Kusema kweli Mariam amepata uumbaji ulio tukuka. Uzuri wa mama yake kwa Mariam naweza kusema ni mara hata tano. Lucy ambaye nilimuona ni mzuri, kwa Mariam ni cha mtoto. Kiuno cha Mariam kimeingia ndani kidogo na kimebeba wowoo lililo jitosheleza kwa ujazo mkubwa, chuchu zake zimechongoka kiasi kwamba zikigusana na kifua changu zina nichoma choma.
“Dany me ni Bik..ra”

“What?”
“Yeaa 
Bik..ra yangu ni zawadi yako”
Mariam alizungumza huku akinitazama machoni kwa macho malegevu. Taratibu Mariam akauchukua mkono wangu wa kulia na kunishikisha chuchuu yake, japo kiganja changu kina majeraha ya kuungua na moto ila nikajikuta nikilitomasa ziwa lake hilo kwa utaratibu na hisia kali.
“Ohooo Dany”
Maria alizungumza kwa sauti ya kunong’oneza, huku akizidi kuishika mashine yangu iliyo simama vilivyo. Kabla hata hatujaanza mtanange, mlango wa bafuni ukagongwa na tukajikuta wote tukiutazama.
“Kuna mtu”
Sauti ya mama Mariam ilisikika hapo ndipo woga wote ukatujaa, kila mmoja akapatwa na kigugumizi, mashamsham yote ya Mariam yakamuisha kwa jinsi kifua chale alivyo kikutanisha na kifua changu niliweza kuyasikia mapigo yake ya moyo jinsi yanavyo dunda kwa kasi kiasi kwamba nikabaki nikiwa sijui cha kufanya.


ITAENDELEA.............

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni